Hivi nikweli magufuli hajawahi fika Muhimbili ktk maisha yake yote hajui wala hajawahi sikia habari za MOI? inawezekana hujamwelewa mtoa mada. Mtoa mada anatutaka tuwe na analytical thinking, deep and broad understanding na sio kukurupuka na kuanza kutoa misifa, kaa angalia mwelekeo, msome mtu...
Ha ha ha ha daaa mkuu umenichekesha mpaka basi duu, nishawahi ona mtu aliye pagawa na mapepo akiombewa weeee hautathubutu kukaa karibu
Nawashauri wananchi wanapoenda kwenye ile mikutano yake wakae kwa tahadhari maana lolote laweza tokea
Ole wako Mola aone hili unalolisema kwa mtu ambaye hajawahi inua kinywa chake na kumsema mtu vibaya, nakwambia Mola akiliona hili utatangulia mapema na utamwacha Lowasa. Kweli nasema Mungu akusamehe kwani haujui ulitendalo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.