You are comparing uncomparables,dube na Bob ni usingizi na kifo wote mnaoshabikia dube sio wapenz wa reggae mnapenda kwaya na midundo iliyoimbwa na mfugarasta dube ila the Legend of reggae ni Bob Marley haihitaji rocket science kujua hilo ni ufuatiliaji tu simple kama hujui just google...
Ni kweli we hv to admit hawa jamaa walitutangulia na wapo wengi wenye shule in comparison with Makabila mengine na ndo tayari wapo kw system hivyo ni ngumu kufikia uwiano ulio sawa ukizingatia yako makabila zaidi ya 120 hapa nyumbani,so lets take it az a challenge tuwapeleke wanetu shule ili...
Shame on him,ila hw iz it going so far tupeane updates ths story ni aibu kubwa kwa watendaji wa SIRIKALI yetu,cz thy are mo worse than Kabwe walio wengi., KIDUMU CHAMA CHA MAFISADI
Realy wanaJF we are great thinkers,kila lenye mwanzo lina mwisho wake there will come a time when every action will have equal and opposite reaction Tanzania doesnt end with our generation but hii nchi imeoza 4now......nawasilisha.
hizo zinaitwa choko choko we dnt expect Mwana JF kukosa something educating than this tuelimishane jamani tuache kuwa self centered lets do things for Jamii, ni hayo tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.