baada ya tundu Lisu na silinde na mdeee kupita Arusha week hii nzima wakiwa na chopa kesho ccm wataunguruma viwanja zaidi ya sita
1 majengo
2 mbauda
3.kilombero
4.kwa chuesi
5. soko kuu
6.kijenge ya juu
lengo kupongeza mchakato mzima wa bunge maaalumu la katiba iliyopendekezwa na kuwaomba...
kitendo cha ccm kuwapa chadema nafasi ya naibu meya ni kitendo chakiungwana sana chadema wana wajumbe kumi na sita ndani ya baraza madiwani wao na wabunge wanaoingia halmashaur
ccm na TLP wana wajumbe kumi na sita kama wangeingia kwenye kura leo basi wangetoka droo na hiyo nafasi ingebakia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.