Telegram ina kila kitu ambacho jamii tuliopo inafanya, shida kubwa wabongo akili zetu zipo chini ndio maana mtu akitaja tuu app hiyo anahisi uasherati.
Mimi nipo telegram, nina channel zaidi ya 50 za wanaijeria za betting na naweza kuweka screenshort hapa, hayo ya ngono ni wewe umeamua kufuata.
Mimi nipo telegram, nina channel zaidi ya 50 za wanaijeria za betting na naweza kuweka screenshort hapa, hayo ya ngono ni wewe umeamua kufuata.
Hizo channel unazifuata wewe kwa maamuzi yako, huwezi kufungua account ukaunganishwa na channel yoyote ile. Iwe nzuri au mbaya ni wewe ndio utaamua kujoin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.