Pole sana ndugu yangu, popote tulipo yupo pia ibilisi na ndiyo chanzo cha MAOVU yote haya, yote mwachie Mungu, kwani yeye hujidhihirisha kwetu wanadamu na kutupa mafunzo kwa njia mbalimbali. Mungu aliona atumie njia hii aweze kutufanya tuamini kwambe yeye ndiye Mungu na ndiye mweza wa yote. Yote...
Inashangaza sana hii inatuonyesha wazi kuwa baadhi ya viongzi wa serikali hawajaelewa utendaji wao wa kazi katika mfumo wa vyama vingi na hasa katika kipindi kama hiki cha kampeni. Mission and Vision ya Kazi ya Police ni ulinzi wa Raia pamoja na mali zao. Huyu OCD awajibishwe pamoja na wenzake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.