Sometimes I wonder mtu mzima na mindevu na watoto kadhaa anaogopa eti kwao watamsema akifanya maamuzi fulani yanayohusu familia yake, daaaaaaaaaaaaaaaaaaa, umewaolea kwenu auuuu??????, are you a boy????????, You can't be them, live your thoughts, stop striving making others happy, You'll never...
Kuna mazingaombwe ambayo ni uchawi lakini pia kuna mazingaombwe ambayo ni just tricks tu na janja janja nyingi, ukitaka kuziona hizi janja janja, kuna kipindi kinaitwa breaking the magician codes au biggest secrets now revealed, hapa utakutana na jamaa aliyebobea ambaye anaonesha mazingaombwe...
Mi nlikuwa natembea kariakoo night afu sijavaa boxer, nlikuwa nimevaa pensi langu tu kwa juu, jamaa ndani yupo angle 90, basi banaaaa ile kupita hivi si nikaanguka chini, kuna mdada alikuwa pembeni kajikwaa akamkalia mheshimiwa aliyekuwa 90 degrees ukizingatia madada wengi wa sku izi hawavai...
Ninavyojua mimi hapo hakuna tatizo zaidi ya saikolojia ya huyo mpnz wako, wengi wamejichua nikiwemo mimi pia lakini tatizo kama hilo sijawahi kulipata hata siku moja, sasa kumsaidia fanya hivi:
Msifie kila mnapomaliza tendo la ndoa
Jifanye umeridhika kabisa kila unapokutana nae kimwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.