Habari za siku nyingi wakuu, katika watu wakongwe hapa JF mimi pia mmojawapo sema nilipotea hapa kati.
Naomba mwenye kujua vizuri namba ya kuagiza vitu uganda kama nguo, viatu begi n k anipm nahitaji msaada wa karibu tafadhali.
Nimesoma Uzi za nyuma zinazohusu biashara za nguo Uganda lakini...
Habari zenu wana mmu,
Napenda kushare nanyi juu ya hii tabia ya hawa wanaume kupenda wanawake wenye pesa (uwezo) kila siku tumezoea kuona/kusikia malalamiko wanaume wakilalamika juu ya wanawake kupenda sana pesa, sasa kinachonishangaza ni kwamba kibao siku hizi.
kimegeuka, utakuta mwanaume...
duh, poleni sana kwa mnaokosa uhondo kwenye suala Zima la "relationship" ni vizuri kuwaambia msiishi na wapenzi wenu kama vile dada zenu, mpenzi wako anatakiwa kuwa rafiki yako, kwa hiyo kuwa huru kumwambia chochote.
Sasa Kama Mungu ulisema ndo mlete dharau eti kwa kuwa ni wajibu? Na mbona wanaume siku hizi mnataka kusaidiwa majukumu mkidai maisha siku hizi ni magumu?
Habari zenu wakuu, Leo napenda kushare na nyinyi juu ya hili swala la lawama kwa pande zote mbili.
Siku hizi imezuka misemo utasikia eti "wanaume/wanawake walikuwa zamani bwana siku hizi hakuna kitu" kwani hawa wanawake/wanaume WA siku hizi wamezaliwa wapi na wamelelewa na akina nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.