Don worry man, hiyo inategemea na nini kilitokea ndani ya chumba cha usaili. Wewe ndo unajua nini uliulizwa.Hao jamaa ni lazima walikuwa na programme yao ya maswali kwahiyo mzee kama uliyajibu vizuri basi subiri matokeo mazuri ila kama ulitoka nje ya mstari pia utayapata matokeo yako.
Wao kama...
Hi Sary..! See, If at first you don't succeed, destroy all evidence that you ever tried! So wait your time will come and God will grant you a good job of your profesion.Keep on sending applications,unanisome eeh?
Sometimes si unajua watu wakishazoea ile tabia hata kama vitu na mambo na time vitabadilika lakini wao ku change inakuwa issue nzito..so take it kawaida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.