Heshima kwenu wakuu.
Naomba kujua kampuni zinazosafirisha mizigo (Loose Cargo) kutoka Japan kuja Tanzania.
Heshima kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je unahitaji kupata data zako muhimu?(Data Recovery)
Ninarudisha data kutoka kwenye
* Simu mbalimbali zilizoharibika/ambazo haziwaki/ ambazo zimefunga kwa password na umeisahau. (Zinazotumia mfumo wa Android na IOS kama iphone, ipod, n.k)
* Pia kutoka katika kompyuta zisizowaka au zilizofungwa...
Heshima kwenu wakuu.
Natafuta mtaalamu mwenye uzoefu wa kuandaa proposal kwaajili ya miradi mbalimbali ya kusaidia jamii.
Kwa yeyote mwenye uzoefu naomba tuwasiliane.
Asanteni wanajamvi.
nijuavyo wana option ya kulipa wakat unapokea mzigo wako.
kwa ninavyowafahamu mimi siyo matapeli, weka oda, chagua ama wakuletee au ukauchukue mwenyewe kwenye pick up center zao. jana tu mi nimetoka kuchukua items zangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.