Inategemea ukubwa wa nyumba kwa maana ya kwenda juu kwa urefu na aina ya udongo.
Udongo tifutifu wenye kiasi kidogo cha mfinyazi unashikamana ukipondwa.Mfinyanzi unakua kama ndio sementi yake.
Kuepuka kupasua ufa, vijijini watu wanachanganya na nyasi.Nyasi zikishikamana na udongo nyumba inakua...
Inafaa kabisa Mkuu ndio maana kuna majengo maeneo ya ufukweni ambapo ni mchanga mwingi.
Kikubwa lazima uhakikishe unakua na msingi imara ambao kama ukipata mawe ni mazuri, ila ukikosa uhakikishe unapata kokoto nzuri za zege.
Mtafute mtaalamu akaangalie eneo iliajue kama huo mchanga unaweza...
Kuna jamaa anahitaji gari ndogo yenye namba B au C isizidi milion 4 anahitaji gari haraka na cash ninayo mimi.
Hiyo gari iwepo Dar.
Mwenye nayo ani pm tufanye biashara
Ina maana kwa sasa CCM imejipanga kuondoa mizengwe kwenye uteuzi na kutokufanya makosa?
Kama ni ndio tunasubiria kuona kuanzia ngazi ya Uraisi maana kama hawajajipanga kulingana na Wassira, nchi itaenda Upinzani.
Mkuu naona leo ni siku yako ya kuanzisha thread hapa jukwaani
Bahati mbaya ziko shallow sana
Unaonaje ungetuliza kichwa ukaleta habari moja yenye uchmbuzi ambayo great thinkers tungefurahia kuisoma?
Mkuu Synthesizer,
Big Up.Somo zuri sana na limesambaa sana maana mimi nilikutana nalo watsap.
Hongera sana na Mungu akuwezeshe kuendelea kuelimisha jamii
Badilisha hizo cable za sauti ya left uweke right na kinyume chake.Otherwise check kama audio kwenye TV imesetiwa "mono" au "stereo" mojawapo ndiyo ina sauti hapo hakika utapata sauti
Best way ni kupeleka hiyo ramani yako ya paa pale sales Alaf watakupimia na kukupa idadi na gharama ya bati(Kama umejenga kwa kutumia ramani na umefuata vipimo)
Otherwise mtafute Quantity Surveyor,Archtect au Engineer akupe idadi ya bati hasa kwa mtu unayefanya planning ya ujenzi na gharama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.