Huyu Mahita mambo mengine amejitakia mwenyewe. Mimi nafikiri ilikuwa ni kitendo cha yeye kukubaliana na huyo housegirl wake ili waweze kumlea mtoto. Sasa hivi kwanza kaaibika wakati ana uhakika kabisa mwana ni wake.
Habari zenu wanaJamii wenzangu? Mimi ni Lucilla nimejiunga kwa mara ya kwanza. Ninawashukuru kama mtanipokea na kuelimishana mambo ya hapa na pale kuhusiana na maisha ya kila siku.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.