Diamond anajua mashabiki, TV, radio, mapromota na waandaaji wa tuzo wanataka nini, wapi na lini. ndo anafanya. Kwa hiyo Mziki wake unapata airtime, nakiwania tuzo anapata. Na Vanessa anafanya hivohivo.
Kwa sasa hakuna jinsi ya kumstop dai; wasanii wamtumie kama yeye alifanya kwa AY. Sio...
Warundi naona mnatafuta kichaka.
Kama tatizo ni Kagame
1. Kwanini ameamua kufanya hivo kipindi hiki wakati Nkrunzinza anaongeza kipindi cha 3 na hakufanya hivo wakati anaongeza kipindi cha 2?
2. Kama Kagame anaivuruga Burundi kiasi hicho, hamuoni kwamba Nkrunzinza ni President aliefail...
Rais ni Amiri jeshi
Rais sio afisa elim.
Kumbe ulidhani baada ya kuagwa na majeshi wanafata walim, madaktari, wahasibu, mahakimu mpaka makarani kwa gwaride
Unaweza kuwa na point;
Lakini hazikuwa Meli, zilikuwa boat. Zililetwa kupitia Kenya, nakumbuka mi nimezitumia 2004/05.
Zile boat zilifanya vzr mwanzoni na zilionekana kuwa mkombozi maana meli husafiri usiku na kwa mda mrefu.
Badae zilianza kutumia mda mrefu saana njiani. Pia kipindi cha mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.