Airtel ofa yako unapata 1 GB kwa siku 3, pia GB 5 kwa 5,000 siku 5 kwa Dar ,Moro na Dodoma sijajua Mbeya,Mwanza na Arusha. Inakula pole pole kuliko Tigo, Halotel na Voda inapoliwa haraka kama siagi inayeyuka kwenye kikaango.
Yaani ni kweli kabisa yaani watu wa TISS kwa kushirikiana na makada wakubwa yaani MaRC, maDC, MaRAS, MaDAS na wengine wamefanya hivyo.
Yaani ni makada na wale wanaoitetea CCM waliopewa nafasi kuna maafisa maendeleo kata (CDOs) wengi yaani unaambiwa hata akija mtu asiyejua kusoma na kuandika...
Smart phones huwa zina tabia ya kutunza password kwenye app ya Swiftkey sasa alipoomba simu arekebishe mtandao alitumia muda huo kuiba tena kwa haraka. Kwanini atoe simu ya biashara kumpa mtu asiyemjua hilo ni kosa kubwa mno limewagharimu.
Hatimaye mgonjwa wetu kiongozi wa wasiojulikana Bwana Ephraim Nyaulingo kafa kama wanavyokufa wengine kweli unaua wenzio kumbe nawe siku yako inafika unakufa kwa maumivu mengi bila kujielewa.
Chinja chinja huyo na aliyekuwa anapenda ngono kuliko chakula, hajaacha legacy njema kwa dunia zaidi ya chaos and fear na kukandamiza haki za wanawake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.