Ukokotoaji UPI unaozungumziwa? Hukumu ya ICSID 1 ilipunguza kiasi kwa Dola milioni moja na hivyo kushusha tozo ya uwekezaji hadi Dola milioni 2.6. Ikumbukwe uamuzi wa mahakama hivyo hauna rufaa. Hiki kinachozungumzwa kuwa ni uamuzi wa mahakama kuhusu ukokotoaji ni uzushi uliotungwa kuhalalisha...
Hakuna mawasiliano ya siri yanayokuwa CC na BCC. Acheni umbulula ninyi watu. Haya mawasiliano yangekuwa ya siri yasingeuwa copied na wala huyu Slaa asingeyapata kamwe.
Si busara kutumia gazeti la umma kwa ajili ya kufanikisha au kuamua ugomvi kati ya watu wawili. Sio sahihi hata kidogo kwa Mengi kutumia magazeti anayomiliki kwa aili ya kupambana na watu anaogombana nao katika mambo yake ya biashara na kama anataka kuingia kwenye siasa basi na atangaze rasmi.
Ni kweli yupo katika operesheni maalum ambayo Mengi ameipatia jina Operesheni Delete Muhongo. Badala ya kutuhabarisha yanayojiri nchini na duniani kazi imekuwa ni kupambana na Muhongo.
Tusije tukajiaminisha kwamba umasikini ni sifa ya kujivunia. JR amekuwa kwenye biashara kuanzia miaka ya mwisho ni kwa sabini. Amefikia hatua hivyo ya kuweza kudiriki kutoa mchango unaowasumbua baadhi yetu si kwa biasharanya ulànguzi wa kupitisha bidhaa hàramu bandari haramu wala halali. Ni...
Wengi huwa ni wajinga kwani hawajui ukweli mpaka baada ya muda mrefu sana na pale wanapoujua ukweli huo huwa wamechelewa sana na waliowadanganya huwa wametoka madarakani wamekufa au hata hasira za watu huwa zimepoa. Ndivyo suala hili la akaunti ya Escrow lilivyo wezi na waliotumia madaraka yao...
Hivi unajua huyo mwanasheria wa Tanesco alikuwa amekomba hela kiasi gani kwa kuwapotosha Tanesco kwa miaka yote ili aendelee kunufaika? Bilioni 62! Je unajuam kwamba mwanasheria wa Tanesco hataki kabisa kum,alizika kwa mgogoro huu kwa sababu kunamkosesha yeye ulajinwa kudumu? Unajua kwamba...
Tumeambiwa na akina Kibonde kwamba Michepuko ni Nomaa tukadhani utani. Sasa ona michepuko inavyoumbua watu wazima hata ndani ya Bunge. Michepuko nomaaa Bakia Njia kuu!
Ni kweli kabisa. Kwani kama kweli ripoti ya CAG ilikuwa ndiyo inayotakiwa kutumika ili kutoa mapendekezo kwa Bunge ili nalo liweze kutoa mapendekezo sahihi kwa Serikali sasa iweje kamati ya Bunge iachane na ripoti ya CAG na badala yake kutoa mapendekezo yake kutoka katika vichwa na hisia za watu...
Kujenga hoja ni kazi ngumu sana. Ninachoona Mimi ni kejeli tupu badala ya mjadala wa kina na mashiko. Kukimbilia hukumu bila ya kuainisha mlolongo mzima wenye uthibitisho wa jinai ni kukurupuka. Prof AT kaombea taasisi yake fedha kazipata na kuwakabidhi. Waliokabidhiwa wakiongozwa na Balozi Paul...
Waingereza na wenzao ni mabepari ambao kitendo chochote cha kutaka kupima hatua hususan katika nishati si jambo jema kwao. Kama tusipokuwa making na kujua dhahiri maslahi yetu kama Haifa yako wapi tutakuwa tunayumbishwa mila siku na migogoro feki.
Kumbuka kwamba fedha aliiombea shule akiwa fundraiser wa Barbro Johansson school na hayo yote yapo katika taarifa ya Balozi Rupia. Tusilazimishe tu mambo kwa sababu tunataka kuonekana kwamba tumeshinda. Suala la kumshupalia huyu mama wa watu lina sababu nyingine zaidi ya fedha za shule. Pesa...
Ni wazi kwamba kama watu watakuwa wakifungwa kwa kuwa kuna kundi la watu linahisi kwamba ni wahalifu basi tumekwisha. Uongo uliosambazwa na watu waliokuwa na lengo maalum umekuwa ni sumu kali lakini hatimaye ukweli unajitokeza na utajipembua.
Busara ni kukubali kwamba tuliingizwa mkenge na akina...
Vizuri tukawa na staha si tu kwa sababu ni jambo jema na la busara bali pia linatufanya tusionekane vichekesho. Suala la kucheza dansi lina ajabu gani? na hiyo unayosema passionately maana yake nini? Na huu ukabila unaouleta kuhusu Wahaya maana yake nini? tuwe na adabu kidogo basi hususan kwa...
Hivi kwa nini nchi iwekwe rehani halafu watu wanajifanya hawataki kujua ukweli? Haifa limeingia katika hatari ya kusambaratishwa na watu wachache kwa maslahi binafsi halafu Bado hatuoni umuhimu wa kujikosoa. Escrow ni tamithilia ya akina Zitto na wenzake Sasa imefikia mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.