Ndugu wadau,
Nimesikia kuwa huko Mkuranga usiku wa kuamkia leo mtu mwenye ualbino amejeruhiwa vibaya na kukatwa sikio. Amelazwa katika hospitali ya Mkuranga. Mwenye taarifa zaidi atujuze jamani. Hivi nchi yetu tunaenda wapi?
Kwanini swala la ulinzi kwa watu wenye ualbino bado ni tete?
Nini...
Ndugu Wanafamilia , jamaa na marafiki.
UTSS imebahatika kufuzu kuwania kupata tuzo ya Euro laki moja 100,000 /= sawa na Tshs 209,000,000 kutoka Netherlands . Kila mwaka wizara ya mambo ya nje ya Netherlands hutoa tuzo ya haki za binadamu iitwayo Tulip kwa watetezi wa haki za binadamu ambao...
Habari za mchana. Ndugu wadau naomba kupata ushauri juu ya biashara nzuri ambayo mtu alieajiriwa anaweza kuimiliki na bado akapata faida bila matatizo yeyote. Nasema hivi kwasababu biashara nyingi huhitaji karibia muda wako wote kusimamia. Wafanyakazi wengi hubanwa na shughuli za mwajiri hivyo...
Kwakuwa Bunge maalum la katiba limemaliza zaidi ya asilimia 30 ya muda wake bila ya kuwa na zao linaloonekana. Nahisi umefika wakati kila watakapo ahirisha kikao kwa sababu yeyote ile basi posho ya kikao husika wasipewe manake hakiwezekani mtu apewe posho ya kuahirisha kikao au ya kitu ambacho...
May be you have hormonal imbalance so you need to check is hormones are balanced and two if you believe in the living God pray siting his words so as you can play part in your marriage
Please let's remember the following:
Albinism is a genetic condition caused by a genetic mutation. One inherits the genes from both parents persons with albinism are born with the genes that causes albinism.
The mutation in the tyrosinase genes would have taken place before one is born with...
Kuna mida swala la Freemasons liliwika sana mjini lakini naona silisikii sana. Kuna wakati mtu akiwa na pesa utasikia huyu ni Freemason. Wimbi hilo lineishia wapi?
Pengine gharama za maisha pale Dodoma zitakuwa juu sana kwani si tu hao watu 500+ watakaokwenda Dodoma nafikiria kutakuwa na wadau mbalimbali so pengine Hiyo hela imezibgatua mambo hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.