Search results

  1. L

    Jimbo la Ubungo kuweni macho na huyo Kubenea

    Huo upuuzi wameshaurudia kwa kumchagua kubenea yaani wananchi hawajielewi. Kama chadema inatatua kero za wananchi kwa nii mnyika akimbie jimbo. Mtu aliefanya vizuri kwenye jimbo lake hawezi kukimbia jimbo.
  2. L

    Kyela hali mbaya, mwandishi apigwa

    Ndio maana muliambiwa malofa. Mmejaa ujinga sasa hapa unahamasisha nini mulizani ikulu ni ya kaskazini. Mtaisoma number mwaka huu.
  3. L

    Steven Wassira adai hakubaliani na ushindi wa Easther Bulaya

    Wamwache kwanza mpaka usingizi wake uishe tumemchoka kusinzia bungeni
  4. L

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Hashindi huyo kimeo wenu hapa kazi tu ndio mpango mzima.
  5. L

    CHADEMA waanza kumkumbuka Dr Slaa

    Ccm imeongoza kwa kuchukua kata zote katika majimbo mbalimbali kushinda ukawa.
  6. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Thanks kwa ushauri.
  7. L

    Nasumbuliwa sana tumbo

    Anza kutumia juice ya carrot asubuhi na jioni kabla ya chai na kabla ya kula. Kunywa glass moja.
  8. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Thanks kwa ushauri wako nitaufanyia kazi.
  9. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Mhh yamekuwa hayo.
  10. L

    Nilichokutana nacho jana Temeke sina imani na wanawake wa Dar

    Jina lako linaashiria ww ni mnyaru. Na wanyaru hawana tabia za kununua hizo bidhaa.
  11. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Anaishi kwa ndugu yake.
  12. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Tuongee nini baada ya kunipa ushauri.
  13. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Sio mwalimu.
  14. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Ila nataka kodi ikiisha nihame. Maana mambo ya kufuatilia wageni wa mtu sio vizuri
  15. L

    Afya na mazoezi ya viungo

    Hiyo kamba ya mazoezi unaweza kuipata supermaket
  16. L

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    Nimepitia salary slip yangu kwa kweli tunahitaji Rais ambaye atatutetea watumishi wa umma. Kodi 94000 kila mwezi jamani huu uonevu utaisha lini. Hapo bado hujalipa kodi kupitia kununua umeme, kodi ya nyumba kweli watumishi wa umma tunadhulumiwa na hawa CCM.
  17. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Wewe hujielewi kabisa kila sehemu unaingizia siasa lione.
  18. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Kumuoa hapana mimi ni ke
  19. L

    Majirani wanamcheka mpenzi wangu

    Poleni na mihangaiko wana JF. Naomba ushauri nifanyeje hapa nilipopanga majirani zangu wanamcheka mpenzi wangu walikuwa ndani wakicheka huku housegirl akiwa mlangoni nikaona housegirl naye anacheka huku akijibu eeh kaja aliponiona mimi akafunga mlango. Mimi nilihisi wanacheka jinsi anavyo...
  20. L

    Utaratibu na gharama za kupima vinasaba (DNA) Tanzania

    Subiri akue anaweza fanana na wewe
Back
Top Bottom