Huo upuuzi wameshaurudia kwa kumchagua kubenea yaani wananchi hawajielewi. Kama chadema inatatua kero za wananchi kwa nii mnyika akimbie jimbo. Mtu aliefanya vizuri kwenye jimbo lake hawezi kukimbia jimbo.
Nimepitia salary slip yangu kwa kweli tunahitaji Rais ambaye atatutetea watumishi wa umma. Kodi 94000 kila mwezi jamani huu uonevu utaisha lini. Hapo bado hujalipa kodi kupitia kununua umeme, kodi ya nyumba kweli watumishi wa umma tunadhulumiwa na hawa CCM.
Poleni na mihangaiko wana JF.
Naomba ushauri nifanyeje hapa nilipopanga majirani zangu wanamcheka mpenzi wangu walikuwa ndani wakicheka huku housegirl akiwa mlangoni nikaona housegirl naye anacheka huku akijibu eeh kaja aliponiona mimi akafunga mlango.
Mimi nilihisi wanacheka jinsi anavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.