Jamani Mm Ni Mwalimu Ninadegree Nipo Kazini Kwa Miaka Mitatu Nataka Mwakani Nikasome ,sitaki Kusomea Ualimu Coz Maisha Ya Ualimu Ni Ya Kiboya,je Ni Kozi Gani Iko Poa Sokoni,masters Au First Degree,olevel Nina Two Ya Point 20,na Advance Hkl Dvn One Point 8,msaada Wenu,nitajie Course Na Chuo...
Dawa Ya Deni Ni Kulipa!,jamani Naombeni Msaada Wa Kisheria Kuna Jamaa Alinikopesha Hela Ya Riba Laki Nne400000 Ambapo Nilitakiwa Nimlipe Laki Sita,nilikubali Coz Nilikuwa Na Matatizo Nimemlipa Laki Nne Tayari,laki Mbili Bado Coz Mambo Yangu Saiz Hayako Poa Lkn Jamaa Ananisumbua Kila Tukikutana...
Wadau nina muda wa miezi 6 tangu nioe, lakini mara baada ya kuoa nimegundua nina tatizo la mature ejaculation( yaani natoa shahawa mapema). Haifiki hadi dakika tano nakuwa nimepizi.
Kabla sijaoa huyu mwanamke nilikuwa nachukua hadi nusu saa kupizi ,cjui tatizo nini? Nisaidieni ni muda gani...
Jamani Nitambua Humu Kuna Wataalamu Wa Magari Na Beia Zake,nina Milioni Kumi Nahitaji Gari Ya Kutembelea,je Ni Aina Gani Ya Gari Naweza Pata Kwa Hela Niliyonayo,pia Mafuta Inatumiaje,iwe Nzuri Mwonekano,msaada Plz
Wadau Mimi Ni MWalimu Lakini Napata Shida Sana Katika Hii Fani Yangu Sababu Nidhamu Ya Wanafunzi Ni Mbovu Wanakuja Shule Kwa Muda Wanaotaka ,mabinti Wanakuja Wamenyoa Viduku,mbaya Zaidi Ukitaka Kumwadhibu Mtoto Mkuu Wa Shule Anazingua Eti Serikali Haipendi,je Nifanyaje?,je Elimu Bora Itapatikana...
Jamani nina miaka 28 natafuta mwanamke Wa kuoa awe mzuri wa sura na shape, rangi nyeupe. Nipo mbeya. Nipo serious aliyetayari anitafute kwenye namba 0714960298. Umri usizidi miaka 26
Mwalimu atakae andamaana atakuwa akili yake iko kama kalio.walimu wanashindwa kuandamana kudai maisha magumu yatokanayo na uduchu w aa mishahara then waandamane kupinga mambo ambayo hayaathiri maisha yao.---- you teachers mtakao andamana.
Nina miaka 26 ,elimu yangu degree,nimeajiliwa selikalini,naishi mbeya.
Natafuta mchumba au mke wa kuoa .
Vigezo awe na elimu kidato cha nne na kuendelea,mweupe,sura nzuri,asiwe mnene pia awe na sifa ambazo mwanamke anatakiwa awe nazo.
Mawasiliano 0714960298
Mwenzenu mimi kama Mwalimu naona aibu kuangalia Bunge kutokana na michango mibovu inayotolewa na mwalimu mwenzangu Olochu katika kikao cha bunge. Kweli inaniuma kama yeye ni mwakilishi wetu wa chama cha walimu sidhani kama walimu tutaweza pata haki zetu katika katiba mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.