Ndugu zanguni ninafuraha kuwapata taarifa kuwa nimefanikiwa kupata kazi katika manisipaa moja nchini kama Afisa maendeleo ya mji.Hivyo wote mliojitokeza na kunitia moyo kweli nashukuru sana.Pia nashukuru kwa michango yenu mizuri milokuwa mnachangia ili kuhakikisha kilio changu kinatatuliwa.
Kwa...
sante ndugu yangu kwa ufafanuzi.
kwa kifupi karibia kila kozi tuna soma mpaka account,bussiness law,information technology vyote tunasoma kwa hiyo naweza kazi aina hizo
Mimi nimsichana wa miaka 27 nimemaliza advanced diploma katika chuo cha mipango Dodoma,
Wakuu niemelekezwa nije huku nijiregsiter na kueleleza yote niniliyo nayo naweza saidiwa.
Kifupi mimi ndo mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto wawili wote tukiwa wakike.baba yetu alifariki mwaka 2003...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.