We hanisi hakuna mtoto wa ccm hapa. Ukweli ndio huo
Mtowa mada kaniwai nami nilipata fununu ndani ya makao makuu kuw"a kijinga cha moto kimeanzafuka moshi bado kidogo hio moshi kuwenea viumba vyote kitaripuka tu mwambieni mbowe anusuru moshi huo
Soma kauli mbiu hii hapa
Vuwa gwanda vuwa...
Nendeni mkasikilize hile radio yenu ya yengeru
Nijuwavyo ukijuwa vipindi vya radio na idadi ya watangazaji basi ww ni mfwasi mkubwa wa radio hiyo
Mimi huwa sisikilizi hip radio ya wa mangi hata vipindi vyake sijui
Cdm hakili hakuna kitu ukiambiwa ww mfwasi wa cdm kataa au kata rufaa
Vtu wanavyo ongeya kwakweli ni ukosefu wa akili. Mawazo
Fikiria anaemteteya lisu kasema lisu anawasilisha uhuru wake wa kuongea. Je huuo mtangazaji hujui kama nae kawasilisha uhuru wake wa kuongea. Kama ww ulivyo towa povu...
Habari ya mujini sasa mbowe amekwisha rudisha 1.6 bilion alizochukuwa nssf tena za watu masikini za walala hoi wanajitolea wanakatwa mishahara yao yy hataki kurudisha miaka 12 sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.