nmedokezwa kua uhamiaji wamepachika watu wao 60 kwenye nafasi walizoita watu zaidi ya elfu 10, kuna majina nmeambiwa lazima yawepo na nimemrekodi aliyeniambia nangoja baada ya mchujo hayo majina yakiwepo naenda mahakamani kumshtaki huyo bosi wa uhamiaji aliyefanya hvyo
kuna watu wanawasifu kuita watu wengi wenye vigezo ila sio sahihi bado...
Kuna rfk yangu ni mtoto wa kamishna mkubwa wa uhamiaji kanambia kuna watu wao wamewapachika wapo ktk waliowaita interview na kuna majina kaniambia lazima yapite na kanionyesha bahati nzuri nmemrekodi kila alichosema...
Huyu kamishna hata kama niwa anatakiwa afikishwe kwa pilato pamoja na hr manager wa uhamiaji...haiwezekani nafasi 70 uite watu zaidi ya elfu kumi , katumia criteria gani?
Au mlioitwa mnatakiwa muende alafu mgome kufanya usaili iwe fundisho wasirudie mwaka mwingne bz hata kama utang'ang'ania huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.