Inatakiwa akili ya juu zaidi kutatua matatizo ya watanzania kwani akili za ccm zaku tembea na wanyama kutumia jembe na nyundo zimeshidwa Dr wa ukweli sio waku gushi kama kikwete sory jamani kikwete.
Mlala njaa niwewe unae ishi kwakuuza utu wako kwa bu7 nakurushiwa kanga na kofia pole mdada ujasoma alama za nyakati. Ahsanteni Ukawa kwaku wabinyia mafisi dawa mpaka yametoka porini
Tunacho jadili hapa ni watu wa dodoma wamepewa elim ya uraia wameelewa sasa mambulula wengine wanakuja hapa kuvuja matusi badala ya kuwapongeza ahsante dodoma kwa kazi ya Mungu mlio fanya leo mafisi yote yamejificha msibani mji umetekwa na wenye nchi
Ccm wa najua awana lao nisawa na mnyama anae kata roho ukiwa karibu yake anaweza kukudhuru kwani anarusha mateke sana ndio maana miswada mibovu kama hii inakuja kipindi hichi ambacho tuna chinja.
Mafisadi wakutupwa leo hii wana jitekenya mwenyewe na kucheka yenyewe
Tuna wasubiri wamalize ngonjera za kutangaza nia za wizi.
Sisi tuna waimiza watu kujiandikisha
Wakati Mwingine huwa nahisi viongozi wengi wa ccm sio watanzania kwani awanagaa hata uruma kabisa kwa mateso tulio pata miaka 54 wangekuwa na roho ya kitanzania wange juuzulu wote
Unat nn zaidi ya kujitetea kwake na miaka yote saba kakakimya ili aje atudangaje miezi michache ilio baki pia atuambie chanzo cha utajiri wake na kwann anawaunga mafisadi wenzie mko Kama kabadilika unajua karamaji wewe au umevamia siasa?
Mungu akaufanya moyo wa WATawala kuwa mgumu ili adhirishe utukufu wake ccm imekataliwa kote duniani na mbinguni sasa awana chaguo lingine zaidi ya rafu hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.