UTAFITI HURU
Binadamu wote tuko "Curious" kwa maana kila binadamu ana hamu ya kujua mambo mengi sana hata yale ya hatari mtu atapenda ayajue.
Walioanza kulewa walitamani kujua ukilewa huwa nini kinatokea? Wa dawa za kulevya walitamani kuonja ili wajue ukitumia madawa nini kinatokea? Huo ndio...
Viongozi wote waliopo madarakani hivi sasa, walijaza form za uongozi na walifanya kampeni ya kusaka madaraka. Kwa hiyo watawala waliopo wote NI WAPENDA MADARAKA, wengine wakijitokeza nao wakapenda madaraka kama wale waliopo madarakani KUNA UBAYA GANI?
Wakuu kwa heshima zooote nilimrekodi Kafulila (Mwanzo Mwisho - Audio) ninayo kwenye whatsapp nimechemka kui-attach hapa jamvini, nafanyaje ili niitundike JF?, nikijaribu napata option ya picha na link tu. Anayejua anisaidie.
Please! Please! Please! Tafadhali naomba kwa umuhimu wa PEKEE, hotuba ya Kafulila ya leo IRUDIWE na vituo vyoote vya TV, najua TBC itawakera lakini alichoongea Kafulila NDICHO HASWAAAA!!! kilichopo.
Shivji hakuteuliwa kwenye Tume ya katiba, pia kaachwa kwenye bunge maalum la katiba, hicho ni kiashiria tosha kuwa hata hao waliona HATAFAA, ni maajabu! Nchi mbili zilizoungana, muungano huo umezaa nchi mbili na serikali mbili. SEMENI UKWELI.
Issa Shivji anatambulishwa kama mwanasheria nguli wa mambo ya katiba Mbona kwenye tume ya katiba hakuwekwa? Dah pia amesahaulika kwenye Bunge maalum la katiba.au walimjua ni bingwa wa kuchanganya habari???
Zanzibar wana katiba yao, Raisi wao, Bendera yao, Serikali yao, JK wala Waziri mkuu haruhusiwi kwenda kukagua miradi ya maendeleo kule ZNZ. Warioba alikuwa Mwanasheria wa Serikali, akawa Waziri Mkuu, Msomi wa siku nyingi na Jaji wa Afrika, hata Kamati ya Katiba aliyoiongoza ni ya watu makini na...
Msaada tafadhali, hizi dawa zinazotangazwa kwenye TV na hasa siku za hivi karibuni za kampuni ya "HERBOWORX" na zile za "DR. RAHABU" kama kuna mtu amewahi kutumia na zikamsaidia naomba anijulishe, akiweka na bei zake itakuwa poa sana.
Wanasheria wa JF nisaidieni, kwa maelezo ya kina ya huyo binti na ushahidi alioumwaga polisi na kwingineko, hongo alizokuwa anapewa na kigogo huyo. Je!! kwa sheria za Tanzania Kigogo huyu atasalimika machoni pa sheria zetu??
Mlinzi wa nchi hii ni kila Mtanzania, na wale walio kwenye nyadhifa mbalimbali wakiwemo Mawaziri wana nafasi nzuri zaidi katika suala la kuilinda nchi, Waziri Mwakyembe yuko sahihi kwanza kama raia, kama Wazizi pia kwa kuwa viongozi wengine (Mawaziri) wanalifumbia macho suala la madawa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.