Kuna ufisadi kuzidi anafanya Mbowe chama chote ni mali yake ruzuku ya chama yote anachukua yeye wanawake wa viti maalumu anawapeleka anakotaka kwa fedha ya serikali hapo hajaukwaa huo urais
Naomba nitambulishwe kwa nini mtu anapokasirika hutoa sauti ya juu hata kama mtu anayeongea naye yupo karibu naye.
Nimemshuhudia mtu na mkewe ndani wanaongea polepole lakini inapotokea kutokuelewa kati yao basi hupandisha sauti zao.
Naomba wataalamu wa saikolojia wanifahamishe tafadhali.
Kwa kweli Mh. Mbatia ameonesha uwezo mkubwa katika kuchangia hoja na Rais hakufanya makosa na mwenyekiti wa wazazi uelewa wake mdogo na Ndiyo maana hata jumuia yake ameivuruga akidhani kuongea kwenye magazeti ndiyo kujenga jumuia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.