huyu badboy hana akili na ni toto dogo.....acha kuweweseka dogo soma na fikiria mambo mengi upo level ya chuo fanya research au omba tempo. think think!!!
sikushauri chochote zaidi acha uzembe na hapa jamvini umeonekana muongo sana na unapapalika na mapenzi.
inshort dada achana na huyo jamaa kabisa atakuharibia zaidi.... jiamini tulia na zaa mtoto na ukiona kuzaa shida sana abort kama ujauzito haujazidi 2months. ni hayo tu
tujadili tabia na mienendo ya mke mwema.
kabila si tatizo.... najua hapa kuna siri na ishu kubwa ambayo kama tunafanya utani tutakosa kuelewa na haina haja ya kulumbana hovyo.
ninavyojua mimi ni kwamba matatizo mengi ya kijamii yanatokana na mazingira na mfumo mzima tunaoishi ndani ya...
jamaa kakolea na demu katambua.....hapo ni kukuzingua tu, kaka usiwe na haraka na game. kiakili kuwa nae kawaida tu kama mshikaji lakini endelea kumchunguza...ila kama ni mwanafunzi wa sec esp o level sishangai.....
sijambo jipya sana kumtafutia mtu mchumba...cha muhimu mtafutaji anakuwa makini maana anavaa uhusika wa mhusika/mme na kwa kiasi fulani anamsaidia sana kumuunganisha na manzi na uchumba huanza, ngoma lazima wapime. suala la matatizo mbeleni ni ishu nyingine. ni utaratibu tu wa kawaida na ktk...
hiyo imetulia sana....... sina mengi. ila wengi wetu wa TZ ni waswahili sana. nadhani naeleweka ninaposema waswahili...locality. jamani tubadilike....tujadili masuala muhimu ...lugha ishu ndogo sana. nivema tukajadili masuala na si watu.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.