Yaani wewe ni pimbi kweli yaani! mtoto wa shule unamfanya hivyo halafu sis wa rafiki yako, isitoshe umekaribishwa kwa ukarimu, huna maana kabisa wewe sasa unataka ushauri gani labda uende jela ndo utafungua akili, ok by the way ingekuwa mimi nisingekubali hata kuongea nae kama alipotaka, halafu...
Hebu cheki hii link kwanza: http://www.bbc.co.uk/swahili/news/story/2004/06/000000_amkanabbc.shtml
Yaani inafikia hatua kukubali nchi zetu kufanywa jalala tena la taka za sumu?
Tumetoka wapi, tuko wapi na tunakwenda wapi? hii si afrika jamani?
source bbc news
kumega, kumegewa kummega nayo yapo na mengine mengi ila je ni sifa au ukosefu wa busara? Wadau mi naona hakuna mantiki ni kuaribu lugha yetu tu inayokuwa kwa kasi sasa hivi.
Na wewe ndo pumbafu kabisaaaaaaaaaa nani kakuambia elimu ni kujua kiingereza? wee ndo umefulia kabisa lione ndo maana hujui kusoma weye, sasa sisi tunaoongea kifaransa, kispanish na kiitaliano pamoja na hiyo kiingereza chako na hatujamaliza hata form four ndo tuonekane wasomi sana? Jiandae ndo...
Yeah kichaa wangu hapo ni full kubambikwa ila simlaumu maana we are all human being so mchukulie poa na mlee vizuri hadi ajifungue maana yawezekana kwanza hana mimba ila anakujaribu kwamba unavyojimegea kavu ikitokea hivi utafanyaje? Sasa kama anakujaribu mwambie tu asubiri dogo aje duniani then...
Huu ni ufisadi mtupu watu wanatafuta jinsi ya kula hela za wananchi, Kodi mle nyie sasa mnatafuta kodi nyingine kupitia umeme? Yale mamilioni ya richmond mmemega kimiakimia sasa mnatafuta mfuko wa kutunyonya tena hakika hii nchi imelaaniwa toba yarabi nyie mafisadi ipo siku yenu tu. Wadau hebu...
Man thanx for a very interesed article. By the way nimeshawai kunywa red bull zamani kama kopo tatu per day nikaona moyo waenda mbio sikurudia tena so nashukuru kama wenzio ndo mnaamka leo ni vema njooni kwa juice natural na maji ndo safe ila haya manywaji yanayotengenezwa na chemical yote hati...
Amwangaliaye mwanamke kwa kumtamani tayari ameshazini nae so wewe katubu kwanza maana ushazini na wanawake wote hapo, Ukienda kanisani kama uvumilivu wako mdogo kwanini usikae upande wa wanaume peke yake? Halafu unapotembea si unawaonaga wengi wamevaa vimini sasa mbona hujasema wasiwe wanavaa...
Nimechoka kuangalia humu kimiakimia sasa nabisha hodi kabisaaaaaaaaaaa naomba mnikaribishe! Kama kawaida hiki ni kikaango hakichagui mboga, twende kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.