Daaah! Hyo m imenikuta leo nmshamaliza kulipia leseni ya biashara nawauliza linii nijee kuchukua leseni yangu nashangaa wsnaniambia badoo hujalipia service levy 108000 hii ina zidii hadii lesenii yenyewe
Na Vp kuhusu vle viwanja wanavyo Toa HALMASHAURI husika wanakuwa wanauza Kwa Square meter = 7000 mfano hivyo navyo Inakuwaje unafata hatua gani ili huakikisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuflash Cmu ndoo kupojee na restore setting inakuaje?
Jee kwa wale ambao password ya cmu kwa hawazjui hzo code zinafanya kaz?
Nielimisheni hapo kwenye kuflash cmu n nn plz?
Niaje?
Dell Optiplex GX620 Ukiiwasha inawaka lakini inaonyesha rangi ya Orange huku hikifatiwa na beep inayo piga mara 3 na kwenye Screen haionyehi kitu chochote. Nilipo ifungua nikagundua kama POWER SUPPLY inawaka baada ya sec chache FENI ya POWER SUPPLY inajizima, POWER SUPPLY...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.