Guys I have been contacted by the bank today na wameniambia suala langu liko kwenye hatua za mwisho za marejesho na huenda fedha yangu ikarudi leo, japo majibu kama haya nafikiri ningeyapata tangu awali ingekuwa vizuri zaidi maana ningejua muendelezo wa suala hili kuliko kukaa kimya na kutojibu...
Nimewasiliana nao hadi nimechoka sasa ni mwezi mmoja na siku kadhaaa hamna mtu yeyote aliyenipa hata jibu kwamba nisubiri au kunajambo fulani linafanyika, hiyo email yao kama ungeweza kuona ningekupa email yangu inbox uone kuna email zangu zaidi ya saba nimewaandikia hakuna jibu wala maelezo...
Mkuu hiyo ya madeni hata mi ilinishangaza sana unakuta akaunti ina negative (-) salio unajiuliza imekuwaje tena? Kwani Benki inaruhusu utumie salio ambalo hauna kwenye akaunti? au mitambo yao huwa inakorofisha?
Hata mi nafikiria kuhama ngoja wanilipe hela yangu kwanza........Benki imeanza kuwa ya hovyo kabisa yaani ukikaa kimya hela hairudi sasa kwanini Benki ikae na hela za wateja ambazo ziko directed kwenye akaunti ya mteja?
Wahuni sana maana wana kigugumizi sana kurudisha hela, hapo hapo ukiwauliza wanasema eti lazima tupate ushahidi kama kweli seller amerudisha.
hata mi najiuliza kwanini wasiweke hela moja kwa moja kwenye account?
Natumia huduma ya kadi kufanya manunuzi online na kwa muda mrefu nimekuwa nikinunua vitu online kupitia paypal (gateway) lakini huwa inatokea muda mwingine nikanunua kitu halafu seller akashindwa kuleta nafungu kesi paypal na baadaye seller anaamua kunilipa (refund) lakini cha ajabu nikishalipwa...
Kibaya zaidi wanaweka details za mtoto humu huu ni udhalilishaji na wanakiuka haki za watoto. Hivi details za mtoto wako na kadi zake za clinic zikiwekwa hapa wewe utafurahi? tuwaheshimu watoto, yule dada aliyewasema watoto wa Obama ali-resign do you know why?acheni cheap politics wasemeni...
Issue hapa ni kwamba ndoa na wazungu ni ngumu mno kutokana na tofauti za culture na siyo stereotypes. Mwanamke wa kitanzania hata kama hamuelewani na mmeachana lakini bado anakuwa na ile heshima kwamba yule ni mzazi mwenzangu, na hatokunyang'anya watoto kama wazungu wanavyofanya. Kuna case moja...
Mi nafikiri kuweka details za mtoto na picha yake humu kwenye mtandao ni unyanyasi kwa mtoto. Wewe uliyepost hizi picha hakupaswa kuweka hizo details kwani ni udhalilishaji na unakiuka haki ya mtoto ambaye hawezi hata kuji-defend. Nashangaa mod kwanini ameacha taarifa hizi ziendelee kukaa hapa...
80%-33%= 47% hizo ndizo asilimia halali alizopata ccm kwenye uchaguzi na ukitoa asilimia za vitongoji utajua kwamba mchwa anatafuna taratibu nguzo za nyumba ya ccm ila kwakuwa cc sio watu wa kukubali ukweli tunaendelea kujipongeza na tutazinduka siku nyumba itakapoanguka.
Mutakyamirwa kuna halmashauri nyingine hazikufanya kabisa uchaguzi kwa mfano Kaliuwa mambo hayakuwezekana kabisa, halafu hizo sehemu nyingine watendaji warikoroga uchaguzi wenyewe na kusababisha vurugu mwishowe uchaguzi kuahirishwa. Sehemu nyingi waliposimamia vizuri hata kama ccm walishindwa...
Rweye hawa uteuzi wao umetenguliwa, Mkuranga, Kaliuwa, Kasulu, Serengeti, Sengerema na Bunda.
hawa wamesimamishwa ili wachunguzwe kwanini waliharibu uchaguzi, Hanang, Mbulu, Ulanga, Kwimba na Sumbawanga.
hawa wamepewa onyo kali, Rombo, Busega na Muheza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.