Mkuu ungaliweza kuchangia bila kijembe ambacho tuna uhakika huwezi kukitetea juu ya safari ya jamaa.Lakini kubwa ni kwamba pamoja na wahindi kujazana na hawapewi siku 7 Lunyungu hata mimi nashitushwa na jambo la Usalama wa Nchi airport yetu japokuwa wengi hawana permits na inasemekana maduka...
Mtoa madai yeye uelewa wake ni kiasi hicho ndiyo mahakamba haifuati yake bali inafuata sheria na mjuaji ni Wakili na Jaji mengine ni maneno ya kukoleza madai hili nalo mnahitaji elimu ya Oxford ? Jamani nyie JF vipi ?
Nilisema nikaondoka ili nione wabishi wa jf wanasemaje .Sasa haya wamebana na sasa wamechomoa .Tuendelee sasa .Ubalozi umefungwa kuanzia dec 5 lakini hakuna tangazo wala taarifa .Je kuna tatizo gani hapa ?
Es umeona kwamba visa hazitoshi kuendesha ubalozi na kwamba si kweli Ubelgiji...
Bulesi
Brussels yuko Hon.Mlay , Nyani Ubalozi wetu wa Brussels ni strategic .Kuna EU mission hapa hapa Brussels na pia Balozi wa Ubelgiji anaenda hadi Holland na Luxembourg .Sasa naamini bado ni muhimu sana sana kwa kila kitu kuwepo .Noma ni heating system hadi inatishia kufunga Ubalozi...
Ndugu Membe nimetokea ubalozini muda huu kutafuta huduma basi sijakuta mkubwa yeyote wako wadogo tu pale ndani ambao hata majibu ya maswali yangu hawakuwa nayo na nimeondoka bila ya kuhudumiwa .Wote wana tetemeka hawana heating system katika jengo wiki nzima hii .Inasemekana wanaweza kufunga...
Ni majuzi tu wamegundua kwamba jamaa anapenda masifa na ili kuishia naye lazima kuendeleza kumpa masifa wapate chao wanacho kihitaji.So wana endelea na kumwaga masifa na CCM watayatumia kwmaa kigezo cha kukubalika namaendeleo yaliyo letwa na serikali ya Mzee wa kikwere
You are arriving a little bit late kwenye point maana this was obvious from the beginning na Lunyungu all he did was to create awareness na na zaidi ya hapo .
Mwenguo na Macha wana makampuni yao na wanatoa business kadi zao wakiwa kwenye official trips , wanatoa flyers na kuwatumia watu wao kwa pesa za TTB kuingia katika misafara na kupata watalii kwa gharama za mlallahoi leo mnasema kuna wivu ? Wivu upi ?
Mshangao wangu ni mmoja .Namuuliza huy Dr.sijui nani jina lake .Kama Spika anazuliwa mambo mbona ukweli wa matumizi ya shilingi 2m toka pale Oysterbay Pharmacy uko nje ? Kama kuna ukweli kwenye hili nani anauzuia ukweli kwenue haya mengine ?
Kazi na asante ya CCM na msaada kwa wahanga ndiyo imeishia hapo .Hivi makampuni makubwa na mashine zao si wako hapo poa walizitumia kumwaga maji nje na kuokoa maisha ya baadhi yao ama ni kazi ya Mungu pia kupata vyombo vya uokoaji ?Tujifanye mambo haya yamewakuta wazungu wawekezaji JK si angeeda...
na Salehe Mohamed
SERIKALI imetakiwa kufanya tathmini ya faida za safari zinazofanywa na viongozi mbalimbali nje ya nchi kutafuta wawekezaji.
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali, Dk. Abdallah Kigoda, alisema hayo alipochangia mada kwenye semina ya wabunge kuhusu mwongozo wa...
Kuna kesi ziko Mahakaman Arusha na Moshi kwa porters kushindwa kulipwa na waajiri wao yaani hawa wazungu wana operate toka overseas na wako huko huko .Kama ni kweli they pay na madai ya walalahoi ni ya uongo kwa nini kuna kesi za dhuluma na jamaa wanakimbia na pesa ?Maana hawako Tanzania...
na Mwandishi Wetu
OFISI ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imesema Spika wa Bunge, Samuel Sitta, ana maadui wanaoathirika na maamuzi ya Bunge pamoja na wafanyakazi wachache wa ofisi hiyo wenye nongwa na ambao wameshindwa kwenda na dhana ya viwango na kasi katika utendaji wao...
na Edward Ibabila (Butiama) na Saada Said (Zanzibar)
MKUTANO wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliomalizika jana kijijini Butiama, umeonyesha dalili za wazi za kuhofia kuundwa kwa serikali ya mseto kabla ya mwaka 2010.
Habari za uhakika ambazo Tanzania Daima imezipata kutoka...
Makapu kidogo umenichanganya hapa .Hivi CUF kusema maamuzi wanawaachia wananchi na wanachama wa Chama hao ni kuvunja amani? Amani nadhani inavunjwa na CCM kwa uwafanya Watanzania wa Zanzibar ni wajinga kiasi hicho .Mara zote ni CCM wamekuja na maneno mara CUF ya waarabu, mara wameleta silaha...
Unapoteza muda na shy ? Inasemekana ni mtoto wa nje ya ndoa na sasa ana laana kwa kuwa kapatikana katika kitanda cha haramu.Majuzi nimeona Lunyungu kamksema nikadhani ni utani mie nikafuatilia naambiwa mbali ya hilo shy ana u mental kidogo .Lakini pia ni mlamba miguu wa majamaa na anajitangazia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.