NDOA ni taasisi inayopunguza stress, vifo na magonjwa. Pasipo ndoa hakuna taifa, familia, serikali, dini. amri ya Mungu tuzae na kuongezeka na kutawala vyote. Miss chagga hivyo vimeo vichache kwa sample yako visikukatishe tama. Ndoa ni tamu aisee usiseme....Nakuonbea uwe na ndoa nzuri (heaven on...
Pole sana kaka. je wazazi waliongea wakiwa ok au bia ndio ziliongea. Mzazi mwenye hekima hawezi kuongea namna hiyo kwa mtoto wa mwingine unless unawasingizia.
Ushauri wangu wafuate tena katika mazingira tulivu ongea nao kwa hekima na staha, wape shule taratibu.
tuko pamoja Sonia. mtoto anatakiwa apate malezi na mapenzi ya wazazi wake. sishauri kabisa mzazi kufany jambo hilin unapoteza kabisa mahusioano ya karibu na mtoto..then baadae akikususahau au kutokuwa na muda nawe wala usijilaumu. zaa wewe lea wewe....usikimbie majukumu mzazi
bro jichunguze kwanza wewe, unaweza kuwa tatizo kwa wife wako kwa tabia za kukera na yawezekana amekuonya amekueleza muda mrefu nawe haubadiliki. maamuzi ya kuachana sio mazuri ...yaweza kuwa hasira/emotions za muda. pata muda wa kutulia. angalia mustakabali wa watoto
pia waone viongozi wa...
Masikini Ole Sendeka haya matokeo yamemuacha UCHI WA MNYAMA, Sijui ataweka wapi USO wake kwa aibu hii?!!
Hongera sana mh. Ole kwa kupambana hadi ulipo kisiasa...Uso wake uko ktk sebule zetu (tv) kuliko hao wenye Phd/first class. ole is risk taker wasomi wengi so analyitical kila kitu analysis...
hili ni shirika la kikristo lililoanzishwa na Mchungaji kwa ajili yakusaidia jamii. Policy yao iko wazi kuhusu ajira lazima uwe committed Christian ( sio mkristo mlevi, muhuni, mwizi na sifa zake zinajulikana) kwani uuliza pia reference toka kwa . mchungaji wako au kiongozi wako wako wa kanisa...
Safi sana niko nyuma yako mkuu ngoja nimaloze kusoma
Malafyale ubarikiwe sana kwa kutuhamasisha. hii shule imekuja kwa wakati.. kwa sasa naona nisifanye tena over analysis muhimu ni kuchukua hatua. Fursa za kilimo na ufugaji ni nyingi sana Tanzania vijana tuzichangamkie mapema kabla hazijaja...
]Wana maadili,kifupi wife material ila wana hasira sana ,wanajiamini,wakorofi ,ukimkosea anaweza akakuchomea nyumba ni hvyo hao ni mashost zang sana
nakubaliana nawe on positive point above.. nyongeza ukimpata bint wa kimeru mafanikio kimaisha yako mlangoni ww tu uyazuie kwan ni wachapakazi...
mwekezaji wa ndani..kkwan kanisa au mchungaji haruhusiwi kuwekeza katika eneo hilo. thanks kwa taarifa ili tukifika Bagamoyo tupate sehemu murua yakupumzika.
Naona unafanyia makampuni ya bia kampeni humu. kwangu hakuna haja yakusubiri utafiti wowote hapa naona unahamasisha ulevi kwa dada zetu mnaotafuta watoto. Msidanganyike na uongo huu, Mungu atawasaidia kuwapa watoto wazuri kwa wakati wake.
zab 120:01 katika shida yangu nalimlilia Bwana naye...
mpangie ratiba yakuongoza ibada ya jioni leo( night glory)... asome biblia....aimbe mapambio...na kusali iliku prove kuwa ni mchawi au la. then rudi hapa utupe majibu
option nyingine; piga maombi ya nguvu hapo kwako using Jesus name, au alika mtumishi wa Bwana apige maombi ya nguvu...
jipe moyo...
hii kunyima wengine raha ya mnyama na kuharibu soko la ndani
kwani mnakula mbichi au mnachoma, kuchemsha au kukaanga? so nadhani virusi vitakuwa vime dead ikipita katika moto mkali. naomba ukiwa unapata kitimoto usali kwanza then jimwage
YESU KRISTO NI MFALME WA WAFALME hana sababu yakutafuta kura yako....tayari anamiliki na kutawala...ndani yangu na wengine wanaomwamini....kwa hiyo kuhusu kushindwa hilo sahau...Yeye ni mshindi tayari
UWE MAKINI NA COMMENT zako kwa leo naomba Mungu akusamehe
nami nikiwa waziri mkuu naongeza mkoa mwingine wa arumeru, rombo, kinampanda etc si tunataka kila aliye kiongozi awe anapewa zawadi ya mkoa....sumaye...manyara...pinda...katavi....lowasa...monduli/arumeru..... nini kipaumbele chetu kujiletea maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.