Hi all,
Ahsanteni sana kwa comments na ushauri, walioninyali pia nashukuru mana yote maisha
Naendelea vizuri, sijawa na mahusiano mapya ila nina ushindi ktk jina la Yesu maana nimegundua tatzo ni la kiroho na limenitesa miaka mingi sana na ndo Naendelea kulifanyia kazi..
Nawashukuru wote...
Af majority ya wanaotoka povu hawajoa,ngoja tuone wataoa nini
Ni kama vile mwanamke kutaka aolewe na mwanaume mwenye maisha ya juuna vigezo lukuki lakini wangapi wanawapata???.
Mwanamke yapaswa aombe samahani tena ilee kutoka moyoni kabisa
Tungeachana kwa uongo mmoja tu hakuna ambae angekua kwny ndoa bado
Uongo upo but angalia tu ur level of tolerance
Wamekutana ukubwani madudu na siri ni obvious
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.