Hii habari imekaa kishabiki kuliko uhalisia, upande wa pili sio habari za kushabikia ikiwa mnapenda kuongeza mapato ya kitalii.
Kama ni kweli kuna tukio kama hilo, suluhisho lilikuwa majadiliano na kulimaliza kidiplomasia.
Sio sahihi sana kuweka itikadi kwenye biashara.
Iran ana mikwara mingi lakini hana ubavu wa kuendesha vita kubwa, nzito na muda mrefu kwa sababu hizi.
1. Ana matatizo makubwa mnoo ya kisiasa ndani ya taifa lake.
2. Hana uungwaji mkono kutoka taifa lolote kubwa lenye nguvu ya kijeshi.
3. Waarabu wanaomzunguka mpaka sasa wameshindwa kumuunga...
Hayo ni maneno ya serikali ya Iran kujifariji na kuwatuliza raia wake, taarifa zisizoegamia upande wowote zinasema miji saba ya Iran imepokea kichapo cha makombora ya chap chap na miundo mbinu kuteketea.
Hakuna mtu hapa anamtukuza Israel lakini tunasema ukweli dhidi ya propaganda za waarabu weusi wa Buza.
Sasa Iran waliyekuwa wanamtukuza kaanza kupokea kipigo cha chap chap.
Kwa mchezaji wa kitanzania, Yanga na Simba ndio dili la juu la mwisho la kulamba, hakuna kusonga mbele zaidi. Kwanini? Simba na Yanga hazina maono yoyote ya kumfanya mchezaji asonge mbele. Hali ni tofauti kabisa kwa Azam ambapo ni rahisi mnoo mchezaji kusonga mbele zaidi kwa kuwa wana huo...
Wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa tu ili wamlaghai na mikataba ya kindezi ya kugawa kama pipi rasimali za watanzania kwa wageni. Hakuna uchumi wowote alioufufua hapa Tanzania. Japokuwa amefanikiwa kuifungua nchi iliyokuwa kifungoni chini ya utawala kandamizi wa Magufuli na Samia akiwa makamu...
Israel ajaribu mara ngapi kuipiga Iran?
Hivi wewe hujui, Ubalozi wa Iran kule syria kidiplomasia ni sehemu ya nchi ya Iran? Israel alitandika kombora moja na kuteketeza makamanda na maafisa saba wa Iran. Iran ilitaka kuchokozwa mara ngapi?
Kanuni ya Israel ni ile ile, ukiijaribu kuishambulia itakujibu kwa kukushambulia ikuangamize kabisa.
Israel sio nchi ya kuchezewa.
Kima wa kutetea magaidi andaeni kabisa maandamano na mabango ya Pray for Iran
Hakuna ubishi, ukweli ni kwamba jaribio la Iran kurusha makombora 300 kuelekea Israel kwa 99% halikufanikiwa, makombora mengi yalizuiwa, huo ndio uhalisia.
Mambo mengine yote ni story tupu za kufarijiana.
Mleta mada ninakuhakikishia, ikiwa vita ya Iran na Israel itashika kasi, hakuna taifa lolote la kiarabu au lililopo mashariki ya kati litasimama kuisaidia Iran moja kwa moja.
Upande wa pili hakuna taifa lolote litakaloguswa na chochote kutoka Iran ikiwa litasimama na Israel.
Mleta mada nawe anza kujitafakari.
Unaunga unga mnoo vijihabari vyepesi ili kutengeneza dhana fulani kuhusu ukubwa wa Iran au unyonge wa Israel.
Kwa mfano katika hilo la Jordan, wewe ulitaka Jordan asemeje?
Katika mazingira yoyote ya vita isiyokuhusu (lakini yenye kukulazimisha kusaidia upande...
Kama ni mechi ya mpira, Mpaka sasa, Israel 3: 0 Iran.
Israel alituma kombora moja tu na kutua moja kwa moja kwenye ubalozi wa Iran uliopo Syria na kusambaratisha makamanda na maafisa wa juu kabisa wa Iran wasiopungua saba. Huu ulikuwa ni uchokozi wa hali ya juu kabisa kuweza kuamsha hasira za...
Kwa akili ya Mzayuni atarudisha makombora, huwa akisema jambo basi ujue atafanya, hanaga tabia ya kusema sema, ana tabia ya kusema mara moja na kufanya mara kumi.
Jipe muda tu.
Tunamuita au anajiita Chawa?
WanaCCM wenyewe walijipa hilo jina, wakaona fahari, wakaanzisha hizo harakati.
Nje ya mada.
Nimeona picha hapo, uko vizuri, ni chombo, umependeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.