Search results

  1. Kwaroz

    Hai: DC afunga biashàra za M/kiti wa Halmashauri(CHADEMA) kwa kosa la kuchochea wananchi kutolipa kodi

    Kama alipata vibanda wakati akiwa mwenyekiti wa halmashauri hilo ni kosa je kama alikuwa navyo kabla hajawa mwenyekiti ni kosa pia? Kumbuka madiwani na wenyeviti si waajiriwa wanaweza kuwa ni wafanyabiashara kabla hawajawa wenyekiti, ikitokea kuwa alikuwa navyo kabla hajawa mwenyekiti alitakiwa...
  2. Kwaroz

    Hai: DC afunga biashàra za M/kiti wa Halmashauri(CHADEMA) kwa kosa la kuchochea wananchi kutolipa kodi

    Sidhan kama upo sawa kimtazamo hapo. Maduka huwa yanajengwa kwa nguvu za wananchi kwa mkataba maalumu kuwa baada ya muda fulani yatakuwa mali ya halmashauri husika baada ya kumalizika kwa gharama walizotumia kujenga Maduka husika. Kama mmiliki alijenga kibanda chake wakati huo na gharama...
  3. Kwaroz

    TANESCO na REA mnachokifanya Arumeru Mashariki ni hujuma au kuna tatizo?

    Eneo ni Kikatiti, Kilimani karibu na kituo cha Happy Watoto napatikana kwenye namba 0767210773.
  4. Kwaroz

    TANESCO na REA mnachokifanya Arumeru Mashariki ni hujuma au kuna tatizo?

    Hapana walikataa kupokea kila mara walisema watakuja eneo husika na kupokea pesa na fomu mpaka muda ukaisha wa Phase I, then ikapita na Phase II na hii Phase III ndio wakasema tujiunganishie kwa gharama zetu za kawaida na sio REA tena
  5. Kwaroz

    TANESCO na REA mnachokifanya Arumeru Mashariki ni hujuma au kuna tatizo?

    mpaka leo kimya hakuna aliyetokea, sana sana nilipofika kwa mejeja wa TANESCO USA RIVER wanasema sisi ambao hatujaunganishiwa imekula kwetu inabidi tuunge kwa gharama zetu wenyewe na walikuja kutoa nguzo zilizokuwepo wakisema kuwa ziliwekwa na vishoka maana hazikustahili kuwepo hapo zilipokuwa...
  6. Kwaroz

    RIPOTI TWAWEZA: Taarifa za wabunge wa upinzani haziaminiki kuliko za wabunge wa CCM

    hapo ukiangalia wastani wa wote hapo juu inaonyesha kuna tatizo mahali maana jumla ya wote kukubalika kwao kama group moja unapata 289 na wastan wake ni 32. Bila shaka jambo hili linatakiwa kufanyiwa kazi sana maana kumuamini Rais as individual na makamu haitoshi kuleta maendeleo au imani...
  7. Kwaroz

    TANESCO na REA mnachokifanya Arumeru Mashariki ni hujuma au kuna tatizo?

    Hao ni wa kuwaacha kama walivyo maana walikuja katika eneo la kikatiti wakaamasisha watu na tukaitikia wito mwaka 2016 tangu awamu ya kwanza ya umeme wao mpaka leo hatujaona surveyor wala nini ukienda ofisini kwao majibu hayaeleweki mpka tumeamua kuwa wapole kusubiri siku wakiamua kuja kufanya...
  8. Kwaroz

    Chondechonde Rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako!

    Hapo naona kuna jambo limejificha na lina double effect, kama raisi ataongezewa mpaka miaka saba ni automatic wabunge, madiwani na wenyeviti wa mitaa na vijiji nao wataongezewa miaka saba pia. Inawezekana mtoa hoja hana uhakika wa kuendelea kuwa mbunge kwa muda mrefu na anatumia njia hiyo...
  9. Kwaroz

    Chondechonde Rais wangu Magufuli, hili ni jaribu kuu kwako!

    Hapo naona kuna jambo limejificha na lina double effect, kama raisi ataongezewa mpaka miaka saba ni automatic wabunge, madiwani na wenyeviti wa mitaa na vijiji nao wataongezewa miaka saba pia. Inawezekana mtoa hoja hana uhakika wa kuendelea kuwa mbunge kwa muda mrefu na anatumia njia hiyo...
  10. Kwaroz

    Hivi ni kwanini CHADEMA mnalaumu sana Polisi?

    Mimi binafsi nawalaumu Polisi na ukipata tatizo linalohusu Polisi ndio utaelewa. La msingi wanatakiwa kujiangalia utendaji wao na kama wanafuata taratibu walizojiwekea na si kufuata maslahi binafsi
  11. Kwaroz

    Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Nawaza tu hapa. Chadema wamekubali Lowasa anapitishwa then one week before uchaguzi anajitoa au kumuunga mkono Magufuli. Si bao la mkono litakuwa limetimia hilo kama Nape anavyosema! Tafakalini kwa umakini hapo
  12. Kwaroz

    Elections 2015 Unaunga mkono Lowassa kuhamia CHADEMA na kuwa mgombea Urais?

    Nawaza tu hapa. Chadema wamekubali Lowasa anapitishwa then one week before uchaguzi anajitoa au kumuunga mkono Magufuli. Si bao la mkono litakuwa limetimia hilo kama Nape anavyosema! Tafakalini kwa umakini hapo
  13. Kwaroz

    Sitta anaongoza BMK hili kupata katiba au akidi?

    Siku za karibuni hapa nimepata mchanganyiko sana juu ya mchakato wa katiba mpya unaoendelea Dodoma. Nimeona kuwa jambo linalochukua muda mwingi wa viongozi wengi wa chama na serikali kuzungumzia akidi ya wabunge kwa pande zote za Muungano kutimia au kutotimia. Je ni kweli Sitta anaongoza bunge...
  14. Kwaroz

    Shirika la umeme tanzania (tanesco) mbona matatizo mengi?

    Pole sana nami nipo kwenye hicho kilio lakini yangu ni kali zaidi ya kwako nilifanyiwa survey May 2002 na kupata barua ya makadirio ya gharama mwezu MArch 2013 baada ya kuchakachua na kulipa tarehe 10/03/2013 na mpaka leo tunavyoongea watu wanao wekewa umeme hapa arusha ni wale waliolipa tarehe...
  15. Kwaroz

    Siku hizi vyama vya wafanyakazi vimekuwa haviheshimu mahakama

    nadhani mtoa hoja anatazama upande mmoja na mwingine haangalii. Ili haki itolewe inatakiwa ni lazima kuwe na pande mbili ya mlalamika na mlalamikiwa na wote wanatakiwa kutoa hoja juu ya jambo lililoko mbele ya mahakama na kutoa haki baada ya kupima pande zote mbili. Kwa sasa ni tofauti serikali...
  16. Kwaroz

    Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

    kwa arusha na moshi leo ni siku ya pili na mpaka sasa hakuna umeme na inawezekana kuna mgao au hitilafu ya karibu nchi nzima
  17. Kwaroz

    Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Inawezekana walimlazimisha kutoa tamko la kusimamisha mgomo nae akagoma ndio sababu ya kipigo hicho. Ni mtazamo wangu tu
  18. Kwaroz

    SERIKALI KUTUMIA Tzs. 100,000 KWA MAENDELEO NCHINI KWA MWAKA 2012/2013

    Baada ya kusomwa kwa bajeti imenifanya nitafakari sana mambo kwa kina, wiki iliyopita Zitto Kabwe alisema kwamba kwa sasa kila Mtanzania aliye hai anadaiwa jumla ya kiasi Tzs. 488,888 ilinifanya niende mbali zaidi ya maneno hayo. Kwa kuangalia bajeti ya 2012/2013 nimeamua kuifafanua kwa urahisi...
  19. Kwaroz

    Bango la VodaCom la Kuchangia M4C lina Walakini

    Swali la kujiuliza ni kwamba nani katengeneza hiyo picha? Ni cdm au ni voda? Nani katoa hiyo namba ni voda au cdm? Inawezekana kwamba hivyo vyote vimefanyika makusudi na voda ili kuchafua hali ya hewa kwa kuwa alama ya cdm inajulikana na hiyo kwenye picha baadhi si za cdm. Hapo inabidi kujua...
Back
Top Bottom