Inatia aibu mtu ambaye anajiita mwanadiplomasia anapoongea upotoa lugha za ajabu sambamba na wabeba mizigo bandarini, Kagasheki umaarifu wake sasa umefikia kikomo, huyu bwana baadhi ya watu wameanza kufuatilia kiwango chake cha elimu kwa kuwa wamebaini kuwa huyu bwana hana sifa za kuwaongoza...
MANISPAA YA BUKOBA YAENDELEA KUWAKA MOTO
Hii inafuatia hatua ya baadhi ya madiwani wanaoongozwa na waziri wa maliasili na utalii, Balozi Khamis Kagasheki wanaotaka kumg'oa madarakani mstahiki Meya wa manispaa ya Bukoba, Anatory Amani kwa manufaa yao binafsi ya kuandika barua ya kutokuwa na...
MANISPAA YA BUKOBA YAENDELEA KUWAKA MOTO
Hii inafuatia hatua ya baadhi ya madiwani wanaoongozwa na waziri wa maliasili na utalii, Balozi Khamis Kagasheki wanaotaka kumg'oa madarakani mstahiki Meya wa manispaa ya Bukoba, Anatory Amani kwa manufaa yao binafsi ya kuandika barua ya kutokuwa na imani...
Tunachokielewa moja ya majukumu ya mbunge katika jimbo lolote ni kubuni fursa za kuwawezesha wapiga kura waliomchagua, inatia aibu kubwa unapomuona mbunge badala ya kubuni fursa za kuwawezesha wapiga kura wake anabuni fursa za kuwanyonya na kuwadidimiza waliomchagua, kweli ndugu wadau wa...
Tunachokielewa moja ya majukumu ya mbunge katika jimbo lolote ni kubuni fursa za kuwawezesha wapiga kura waliomchagua, inatia aibu kubwa unapomuona mbunge badala ya kubuni fursa za kuwawezesha wapiga kura wake anabuni fursa za kuwanyonya na kuwadidimiza waliomchagua, kweli ndugu wadau wa...
ndugu zangu Nshomile, mkiendelea kuwasikiliza na kuwakumbatia viongozi wanaokwamisha maendeleo kwa maslahi yao binafsi kama Mbunge la Bukoba mjini Kagasheki mtaendelea kudidimia kila kunapokucha, kweli kwa nini msifumbuke macho? huyu bwana ni mmoja watu wanapenda kunyeyekewa, haiwezekani mtu...
ndugu zangu Nshomile, mkiendelea kuwasikiliza na kuwakumbatia viongozi wanaokwamisha maendeleo kwa maslahi yao binafsi kama Mbunge la Bukoba mjini Kagasheki mtaendelea kudidimia kila kunapokucha, kweli kwa nini msifumbuke macho? huyu bwana ni mmoja watu wanapenda kunyeyekewa, haiwezekani mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.