Tumeshuhudia mapinduzi makubwa ya Huduma za Afya kwa Hospitali za Rufaa za Mikoa baada tu ya kuhamishiwa chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya.
Sasa ili kuleta tija ya huduma Bora za Afya kwenye Hospitali za Wilaya nashauri Hospitali za Wilaya pia Zisimamiwe na Wizara ya Afya.
Hata baadhi ya...
Mwambie tu kwa upole kuwa kinywa chako hakipo sawa.
Akamuone Mtaalamu wa Afya ya Kinywa atamsaida kumchunguza na kumpa tiba stahiki ya harufu mbaya mdomoni
Kwani kuna Mawakili wapumbavu?
Nijuavyo mimi ukimaliza shahada ya sheria (BLL) unakuwa mwanasheria.
Ukitaka kuwa Wakili ni lazima uende LAW SCHOOL. Sasa ukimaliza Law school tukikuita WAKILI kuna shida gani?
Kwanini mnalazimisha tuseme WAKILI MSOMI?
Kwani kuna WAKILI MPUMBAVU?
Hebu ndugu...
Mtoa mada jibu kwanza maswali haya;
Jambo hili si ukatili mahala pa kazi? Kwani mhusika wa wizara ya kazi Yuko wapi?
Na je manusura ni chini ya miaka 18 Ili iingie sheria ya mtoto au mtu mzima?
Je kosa hili ni ubakaji na ulawiti au ukatili kama ukatili mwingine wa jinai?
Dorothy Gwajima...
Tatizo la Tanzania siyo plan, ni uvivu na ukosefu wa moyo wa kazi kwenye utekelezaji na ufuatiliaji wa mipango waliyopanga. Vilevile, ni ukosefu wa uaminifu kwenye raslimali za umma ikiwemo kujali watu.
Ingekuwa vizuri hao wanaojua kupanga wakawa na moyo wa ufuatiliaji wa utekelezaji na kujali...
Tatizo la Tanzania siyo plan, ni uvivu na ukosefu wa moyo wa kazi kwenye utekelezaji na ufuatiliaji wa mipango waliyopanga. Vilevile, ni ukosefu wa uaminifu kwenye raslimali za umma ikiwemo kujali watu.
Ingekuwa vizuri hao wanaojua kupanga wakawa na moyo wa ufuatiliaji wa utekelezaji na kujali...
Tatizo la Tanzania siyo plan, ni uvivu na ukosefu wa moyo wa kazi kwenye utekelezaji na ufuatiliaji wa mipango waliyopanga. Vilevile, ni ukosefu wa uaminifu kwenye raslimali za umma ikiwemo kujali watu.
Ingekuwa vizuri hao wanaojua kupanga wakawa na moyo wa ufuatiliaji wa utekelezaji na kujali...
Jamani tunaye pia:
1. Mhe. Dkt. Alice Karungi Kaijage.
2. Mhe. Kigwangala.
3. Mhe Ndugulile.
Dorothy Gwajima nimeona jina lake kwenye Master Programs in Community Service nadhani atafanya majukumu mengine maana kazi siyo afya tu.
Jamani tunaye pia:
1. Mhe. Dkt. Alice Karungi Kaijage.
2. Mhe. Kigwangala.
3. Mhe Ndugulile.
Dorothy Gwajima nimeona jina lake kwenye Master Programs in Community Service nadhani atafanya majukumu mengine maana kazi siyo afya tu.
Hivi mnajua kama kuna kitengo cha tiba asili cha wizara chenye mkurugenzi msaidizi eneo husika na baraza la tiba asili na sheria ya bunge? Na wanalipwa mshahara kabisa wa Kodi za wananchi? Na kama kujifukiza huyo Dorothy Gwajima alijifukiza dawa za kujifukiza za taaluma ya tiba asili iliyop...
Vita ya korona na misimamo yake ilikuwa vita ya serikali nzima acha kujifanya waziri ana uwezo wa kupanga na kupangua hoja za kitaifa. Sasa kama dunia na hiyo WHO nao kila asubuhi walikuwa na majibu yao ulitaka kwa nini Dorothy Gwajima ashikilie jambo hilo hilo ambalo hata dunia bado haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.