huo mgogoro ulikuwa Wa wanandoa? maana naona kaandamana na wanawake tu. mletamada umetumwa. picha na unachotaka tuamini ni vitu viwili tofauti,kajiandae upya uje tena.
Nilicho kieleza ninakijua vizuri sana na nimepata semina SUA. huo no ugonjwa Wa ukosefu Wa vitamin A. nitofauti na ndui ya Kuku, ndui Kuku anakuwa na mapele kichwani na mdomoni. lakini huu uko ndani ya jicho, jicho huziba na ukilitumbua linatoa maji na kitu kama sabuni iliyo lowekwa.MTOA MADA...
unafuga au unatania?. waache waatamie kama unataka mayai mengi ungerifuga wa kisasa. kumbuka hao ni kuku wa asili razima watage na kuatamia, usiwachoshe
KTK Ukirsto Hakuna m
Mchungaji mwanamke. na hata angekuwa Mwanamme tayari alisha poteza sofa za kumutumikia BWANA kwani Biblia inasema usitumikie MABWANA wawili na vyakaisari mpe kaisari na VYAMUMGU mpe MUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.