Search results

  1. N

    Why Tanzania would not embrace EAC

    The writer, whom I presume is Kenyan, has made a very honest observation as to why Tanzania should be very carefull in moving towards EAC "federation". As it is, Tanzania was the main player when the first EAC was formed and we burnt our fingers in the process. They say, "once bitted, twice...
  2. N

    Prof. Anna Tibaijuka: Kwaheri ya kuonana Mzee Madiba

    Prof umenena vema kabisa. Madiba ni mfano wa kuigwa kwa binadamu wote, na sio viongozi tu. Kila mtu analo la kujifunza katika maisha ya Mandela.
  3. N

    My friend Zitto Kabwe

    Mzee Dogo, If you do not know who is Right and who is Wrong, then on what base do you judge ZZK "Msaliti"??? Is it that you go by anything Mbowe says??
  4. N

    My friend Zitto Kabwe

    Character X, What really makes this decision right while one is being accused of "treason" for being impliedly involved in a campaign strategy. Very ridiculous!!
  5. N

    Prof Baregu: Siungi Mkono Maamuzi juu ya Zitto ila "SULUHU" ni njema

    Ni vema wote tukajua kuwa migogoro ya kisiasa humalizwa kisiasa. Na hili la Mbowe na Zitto litakwisha hivyo hivyo.
  6. N

    Kikwete na Koti la Azam Sembe

    Ndugu yangu nadhani inabidi ujielimishe juu ya majukumu ya msingi ya Rais na viongozi wa ngazi mbali mbali. Siwezi kukulaumu kwa mtazamo wako lakini napenda ujue tu kwamba mtazamo wako ni potofu sana. Jambo alilolifanya Rais hapo ni jambo la kujivunia sana. Sielewi watu wanapozungumzia kukuza...
  7. N

    Kafulila na Zitto wanaivuruga NCCR - Moses Machali

    Zitto ni bora sana kuliko wanasiasa wengi na hata wachangiaji wengi sana humu JF. Propaganda hizi naona zinatokana na wanasiasa wasiokuwa na vision na wanamuona Zitto kama threat kwa future dreamz zao ndio maana wanaamua kumpaka matope. waingereze wanasema, "You can not strengthen the weak by...
  8. N

    Kafulila na Zitto wanaivuruga NCCR - Moses Machali

    Mbatia haonekani kama mwanasiasa bali mganga njaa tu, hivyo akiondolewa kwa maslahi ya growth ya chama sioni tatizo hata kidogo. Na hata kama Zitto anataka kugombea Urais sioni tatizo pia. Tatizo ni wale wenye mawazo mgando ambao hawaijui demokrasia vizuri bali wanaendekeza ushabiki wa siasa tu.
  9. N

    Bank M Kukusanya Kodi kwa niaba ya TRA - Wao wanapata nini?

    Kwa Mwanakijiji na wengine wenye mawazo kama yake. Kwanza ni vizuri kutofautisha habari za kisiasa na za kibiashara. Hii thread ni ya kibiashara zaidi na sio siasa. Pili; Suala la kukusanya kosi linasimamiwa na TRA lakini benki ndizo zenye miundombinu ya kukusanyia pesa na sio TRA, ni vizuri...
  10. N

    Wilson Mukama: Public and Private Profile

    Wewe una chuki binafsi......huna jipya lolote
  11. N

    Nyumbani Lounge kwa JayDee huduma kwa mteja hairidhishi

    Hata mimi nimeenda pale leo mchana. Huduma very poor!!!!!
  12. N

    Mambo ya kwa Babu LOLIONDO

    Uelewa wako wa biblia ni mdogo sana.....nenda kasome vizuri miujiza ya Yesu na utaona masharti aliyokuwa akiwapa watu. Usiwe unakurupuka.
  13. N

    Kitabu: Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes (1924-1968)

    Mimi naona kuna watu wanataka kutumia historia kuendeleza ajenda zao za siri hapa. Naamini kabisa hawa WAISLAMU kama akina Abdulwahid Sykes na wenzake wengi walikuwa na uchungu wa kweli wa kutaka UHURU, na hawakuwa wakipigania uhuru wa WAISLAMU bali uhuru wa TAnganyika yote. Ndio maana hata...
  14. N

    Zitto apendekeza Dowans itaifishwe; Serikali yapinga! Mgao waendelea...

    Mh. Zitto pole sana kwa kuuguliwa na Mama yako. Natumai Mungu atampa afya njema karibuni. Nasikitika tu kuona watu wengine wanachukulia suala la kuuguza kama mzaha tu la kini wanasahau huwezi kuwa kiongozi bora unayewajali watu wako kama unashindwa kuwajali watu wa karibu na wewe kama mama yako...
  15. N

    WikiLeaks: Egyptian Military Succession Plans Told to US Embassy

    Wamejidanganya...kwa kuwa kinachotokea ni tofauti na mawazo yao mgando!!!!
  16. N

    Rais Kibaki amjibu Odinga

    Kenya ni mfano halisi kuwa Katiba mpya bila Maadili haina maana yoyote.!!! Kenya imeshindwa kabisa kujivua gamba la ukabila...kila kitu kwao kinaanza na kabila na kinaisha na kabila....inasikitisha.
  17. N

    Kenya at its best ethnicity won't change even after the new constitution

    I hope one day Kenyans will learn to look at politics without ethnicity in their minds!!
  18. N

    HomeNews NEWS Southern Sudan, DRC lining up to join the EA Community

    We welcome South Sudan to join this Great Economic federation.
  19. N

    Sarah Palin hit by fallout from Arizona shooting spree............................

    Huyu mama hawezi kupambana na Obama hata kidogo. lakini naombea republicans wazubae na wampe nafasi ili Obama apite kirahisiiiii
Back
Top Bottom