-Siyo siri kwamba wasaka urais wawili wakubwa ndani ya CCM, January Makamba na Edward Lowassa, wamekuwa wakizunguka nchi wakigawa mamillioni ya fedha kwa wananchi ili waungwe mkono katika mbio zao za urais 2015
-Siyo siri kwamba Bw. Makamba Jr. Alikuwa mtumishi wa umma wa kawaida, lakini baada...
Hawa watu siyo watu wa CCM. CCM hatuna misukulu kama
ZeMarcopolo,
chama,
Ritz,
sixgates,
Chris Lukosi
CCM ni chama cha watu makini, siyo hii mijitu mijinga mijinga inayotuvurugia chama
Ili tushinde kwa kishindi 2015, ni bora chama chetu dume CCM na serikali yake kupitia NEC kuboroesha daftari la wapiga kura kabla ya mwisho wa 2014. Hi ni kwa maana kwamba, kuna vijana wengi sana ambao wamefikisha umri wa kupiga kura ambao wataisaidia sana chama chetu.
Vijijini ambako chama...
Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Watu muhimu na wachapa kazi kama Balozi Kaghasheki wanalazimishwa kujiuzulu, watu kama kawambwa bado wanaendelea na nyadhifa zao.CCM wamemtoa Balozi kondoo wa kafara
Serikali ya CCM imefanya kosa kubwa sana kumlazimisha Balozi kujiuzulu. Huyu angefaa kuwa waziri...
Kamati ya Bunge ya Fedha imelaani matumizi ya Dola za kimarekani ikidai kwamba matumizi ya dola inachangia kuporopoka kwa uchumi wa nchi yetu....Nakumbuka kusoma haya makala humu siku za nyuma
Wafugaji wa kimasai katika wilaya ya Kilindi Tanga, wameigomea serikali kutozwa Tsh.2000 kwa kila ngombe ili kujenga mahabara. Wananchi hao wamegoma wakisema kwamba, serikali ya CCM ni ya kifisadi na haiaminiki kukusanya fedha. Bora wajenge mahabara yao kuliko kitegemea serikali ya CCM
M Take...
Ben Saa 8. Huko Chadema, mimi CCM damu....Nakwambia, kama kuna mabadiliko kwenye baraza la mawaziri na huyu mtu akabaki kwenye hilo baraza, natupa kadi navaa gwanda. I swear to God !
Utaifa kwanza !
Huyu mtu kazidi matusi kwa watanzania. Kwani kabla ya uwaziri alikuwa anapanda nini, wakati...
Ben Saa 8. Huko Chadema, mimi CCM damu....Nakwambia, kama kuna mabadiliko kwenye baraza la mawaziri na huyu mtu akabaki kwenye hilo baraza, natupa kadi navaa gwanda. i swear to God !
Shenz type. umevimbiwa na hela za rushwa ukajisahau miaka chache iliyopita ulikupwa unapangusa makalio na majani ! CDM wakupige chini tu, na wala hatukutaki CCM. ulitumika kama condom kazi yako kwishney............One time use, na aborted so dont need you !
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amegoma kusafiri na Watanzania wenzake kwenda nchini Algeria kwa daraja la kawaida baada ya kukosa daraja la kwanza, hivyo kuahirisha safari yake kwa siku moja, Tanzania Daima limebaini.
Profesa Muhongo ambaye amekuwa akionyesha dharau...
Wewe mwanamke sijui ni mwanga? Hivi unalala na mumeo saa ngapi wakati kila muda huko kwenye mitandao. Haufai kabisa......Nyie ndio mnaovuruga chama chetu CCM...........
Hongea sera siyo umbea !
First month Maropes hana lolote. Mwizi wa mitihani huyo. Alafu anamtumia dadake kukusanya mkwanj. Like father like son. Kazi kuropoka......Hawa ndio wanaokiua chama dume CCM....Waongee sera siyo mipasho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.