HABARI ZENU WAPENDWA,
natafuta yaya/ maid wa kulea mtoto wa miaka 4 wa kike.
kama unataarifa zozote tuwasiliane hapa au hata kwa pm
sifa zake;
awe na umri usiopungua miaka 25
makazi ni Arusha.
awe ni wa kuishi hapohapo
wazazi ni waajiriwa
salary 80,000- 100,000.
awe mchapa kazi sio mpaka...
yaani sijacheka hivi muda sasa, ofc nzima ni hatuna mbavu, jamaa wameamua kujoin jf, dubu we ni balaaaa!
hahahahahaha eti manyaunyau mwenyewe yuko ka super nyamwela yaani ndio umeniamaliza kabisaaa
iumweleze tu huyo niece msimamo wako na mfanye sherehe kifamilia na ndugu wa karibu , utakuwa umemfundisha kitu kitakachomsaidia maishani. kweli michango inaudhi mno
mi naona bora kujikinga mapema ukiona mtu wa dini tofauti na yako anakunyemelea kimbiza ubawa wako fasta. why uanzishe uhusiano na mtu wa dini tofauti wakati unajua hautafika mbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.