Takriban miaka miwili iliyopita Dunia ilipokea ugeni hatari bila hodi . Mgeni huyu alitembelea maeneo mbalimbali kuanzia bara la Asia, Ulaya, Amerika ya Kusini na Kaskazini, Australia pamoja na bara letu la Afrika.
Kwa nchi yetu, mgeni alibisha hodi kupitia mkoa wa Arusha na Kisha kusambaa...
Jamani hili suala la ajira ni tatizo sugu na hivi Sasa limefikia hadi kwenye sekta nyeti ya afya.....serikali ifungulie tu hizi ajira hususani sekta ya afya kwa takwimu za haraka haraka kuna madaktari zaidi 1800 ambao wamemaliza internship mwaka Jana na mwaka huu wamekaa tu nyumbani.
Kama unalitambua hilo acha unafiki jenga chama na acha kutumika kukivuruga
Haiwezekani most of the time wewe tu ndo uwe typed kama chanzo cha misuguano na migogoro!!! Who are you by the way!!!!?? Wapo watu wana uchungu zaidi ya ww kwa CHADEMA. Tulia na ujipange upya kijana
ZITTO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.