Ninafanya kazi na mrusi mmoja, juzi kati wakati tupo kizigo tukawa tunapiga stori, ananiambia hii vita haitaisha leo, inaweza kuchukua hata miaka kumi ila wao wanajua Kiev ni halali yao.
kwamba kipindi cha Soviet, makao makuu ya usovieti ilikuwa Kiev, hivyo vita itaisha siku wakirejesha makao...
Tuliza wenge, chukua mke mwingine mbichi siyo single mother lakini.
Huyo aliyetoroshwa atajikuta amerudi kuwa na mke mwenzake alafu ajihudumie mwenyewe.
Koma kumtafuta tena, hata kama unaumiya, usimpigie Simu wala kutuma sms tena. Wewe ndo unampa turufu dhidi yako kwa kufanya hivyo. Hapo...
Ni kweli, ila siyo kwamba ndiyo ninaanza kihivyo. Hapa nataka tu kuingia kwa gia kubwa. Mpaka sasa ninafuga mbuzi na ng’ombe ila kwa scale ndogo. Ilikuwa kama mradi wa majaribio, sasa nahisi nipo tayari kuliamsha dude.
Ndiyo maana nataka kusikiliza ushauri wenu pia.
Nawasalimu wote wana jukwaa,
Moja kwa moja kwenye hoja. Nakusudia kuanzisha ufugaji wa Ng’ombe, Mbuzi na Kuku.
Naomba kwa wenye uzoefu mnipe maoni yenu, hususani juu ya:
1. Mikoa sahihi kwa biashara hii
2. Faida na hasara za biashara yenyewe
3. Changamoto na fursa
4. Wanunuzi wakubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.