Maalim seif ni kirusi hatari sana kilichojaa nyongo ya unafiki ndani yake!wazanzibar wajiulize what next baada ya Maalim seif kushinikiza muungano uvunjike?wajinga ndo waliwao na madevu yao,kwanza ni bora kubeba gunia la misumari kuliko kuendelea kuwakumbatia hao wasiokuwa na shukrani akina yakhe!
Umezuia mkopo halali wa watumishi wa ofisi yako eti nawe ni mtumishi kumbe sio matokeo yake umekuja hapa hazina na kututolea maneno machafu,sio halali huo mkopo kwako,waache watumishi wakope:unamweka diwani ndani wakati wewe mwenyewe umejinyakulia mashamba na umekata misitu zaidi ya huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.