Kha, ebu ngoja kwanza..maana kuna kipindi wanangu walikuwa wakikohoa saana, kipindi hicho nilipenda kuwabebea hizi bidhaa kila siku...huenda sababu ikawa hihihii, wabheja ngosha ng'wanangongo!
kalikenye huenda una matatizo ya akili, yaani mimi niko tunduru nimenunua juice dukani nikasoma expire date iko mbali, nikikuta uchafu nipande basi kwenda Dar kwa SSB kumwonesha uchafu wake? hapa JF wanapita jamaa zake Saidi wengi tu, na hata yeye huenda anaingia sana tu humu, UJUMBE UMEFIKA...
Kwa hiyo huyo "----" alitakiwa afanye nini baada ya kuona tatizo linalohatarisha afya za watu wengi? Badala yakuja kutukana watu hapa, hata kama wewe ni kibaraka wa Saidi ilibidi uutafute ukweli kimyakimya kisha umjuze kama kuna tatizo arekebishe, TUNAJENGA HATUBOMOI MKUU! Mimi namuunga mkono...
Sentensi ya mwisho umemaliza mkuu, hakuna ushabiki kama wa jamaa mmoja hapa anaporomoka matusi tu! Kwa hali yakawaida mmarekani angesharusha ngumi kitambo, wala hana haja ya kusubiri DPRK waanze, DPRK yeye alishasema yuko tayari kwa vita, na chokochoko yoyote ile itamfanya aanze...
Kwani kabla ya salamu waliulizana umri? Ni kawaida kuchanganya bhana, watu hawatembei na badge za kuonesha umri mtu yeyote anaweza kughafirika, hata wewe nna imani ushabugi maranyingi kuamkia watu unawazidi umri!!! hii nayo ndiyo mapka ya kuja kufungua thread JF? naona sasa tunakosa topic, we...
Bomani amesoma pamoja na Juma, walikuwa marafiki wa karibu. Ni kweli hata jina la Nyaga alilitoa Bomani, mimi ni Msukuma lakini nilikuwa sijui kama Nyaga maana yake ni mtoto mwenye kipaji, huenda ni kweli au huenda ni namna nzuri ya kumsifia marehemu kama ilivyo kawaida yetu watanzania. Btw...
Hivi kima cha chini sasa hivi ni shillingi ngapi? Maana mi naona hata hiyo laki tatu ikikatwa makato ya kodi na michango ya social security inabakia laki mbili labda, kwa mtu mwenye familia ndogo ya mke na watoto wawili wallah sioni kama anaweza kuishi kwa elfu5 kwa siku, hapo hajaugua wala...
ipo California, sebule, jiko, stoo, vyumba viwili chini, master na chumba cha watoto juu, nyumba ya uwani ina garage, vyumba viwili na ofisi. nyumba zimeunganishwa na outdoor living ya kisasa, fully furnished. $800K, kama ni mnunuzi njoo PM.
Naiuza ili nijenge nyingine. Wanaoulizaga maswali ya...
Hicho kigari cha VETA ni SUZUKI, not made in Tanzania, ni Modified......oh,no!....Asembled....aah hapana...Sjui nini in Tanzania, la Chini ni IVECO, Bandikwad Nembo ya Nyumbu in Tanzania!
Umesema yote Roulette, @snochet ni kijana mwema sana, simfahamu personally lakini nafahamiana naye sana JF, namwona ni kama mwanafamilia wangu na namkubali sana kwa uwazi wake na misimamo ya "mlengo wa kati!" Namwombea kila la heri katika kutafuta mwenza, Kwa vile ni kijana mcha Mungu pia...
Wewe ni nani hata useme Will ya MAWALLA haina mashiko?!!!!! Mambo yote unayoyawaza wewe for sure alishayawaza na kuangalia possible scenarios zote ndiyo maana akaandika!
Hahahaa, naona umeambiwa wa Mkoa umemind vibaya mno mpaka umekuja kufungua thread JF?!!!! Kwani pesa mlikopeshana JF? Btw, inaonekana mnafahamiana vilivyo, huenda mmetoka kijiji kimoja au mlisoma pamoja, kwa hiyo ni wewe ndiyo unajua jinsi ya kumpata, JF sidhani kwama watakusaidia sana (labda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.