Search results

  1. Amoeba

    TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

    Kha, ebu ngoja kwanza..maana kuna kipindi wanangu walikuwa wakikohoa saana, kipindi hicho nilipenda kuwabebea hizi bidhaa kila siku...huenda sababu ikawa hihihii, wabheja ngosha ng'wanangongo!
  2. Amoeba

    Volvo truck double diff

    Inbox namba ya simu @mkupule
  3. Amoeba

    TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

    kalikenye huenda una matatizo ya akili, yaani mimi niko tunduru nimenunua juice dukani nikasoma expire date iko mbali, nikikuta uchafu nipande basi kwenda Dar kwa SSB kumwonesha uchafu wake? hapa JF wanapita jamaa zake Saidi wengi tu, na hata yeye huenda anaingia sana tu humu, UJUMBE UMEFIKA...
  4. Amoeba

    TAHADHARI: Kwa watumiaji wa juice za AZAM

    Kwa hiyo huyo "----" alitakiwa afanye nini baada ya kuona tatizo linalohatarisha afya za watu wengi? Badala yakuja kutukana watu hapa, hata kama wewe ni kibaraka wa Saidi ilibidi uutafute ukweli kimyakimya kisha umjuze kama kuna tatizo arekebishe, TUNAJENGA HATUBOMOI MKUU! Mimi namuunga mkono...
  5. Amoeba

    N. Korea kupimana nguvu kijeshi na Marekani

    Sentensi ya mwisho umemaliza mkuu, hakuna ushabiki kama wa jamaa mmoja hapa anaporomoka matusi tu! Kwa hali yakawaida mmarekani angesharusha ngumi kitambo, wala hana haja ya kusubiri DPRK waanze, DPRK yeye alishasema yuko tayari kwa vita, na chokochoko yoyote ile itamfanya aanze...
  6. Amoeba

    Dr. Batilda Amsalimia Mhe. Ruto "Shikamoo"

    Kwani kabla ya salamu waliulizana umri? Ni kawaida kuchanganya bhana, watu hawatembei na badge za kuonesha umri mtu yeyote anaweza kughafirika, hata wewe nna imani ushabugi maranyingi kuamkia watu unawazidi umri!!! hii nayo ndiyo mapka ya kuja kufungua thread JF? naona sasa tunakosa topic, we...
  7. Amoeba

    Maziko ya Wakili Nyaga Mawalla na Kanusho la Wizara ya Maliasili

    Bomani amesoma pamoja na Juma, walikuwa marafiki wa karibu. Ni kweli hata jina la Nyaga alilitoa Bomani, mimi ni Msukuma lakini nilikuwa sijui kama Nyaga maana yake ni mtoto mwenye kipaji, huenda ni kweli au huenda ni namna nzuri ya kumsifia marehemu kama ilivyo kawaida yetu watanzania. Btw...
  8. Amoeba

    Mambo ya ttcl internet

    Kama na wee ni mfanyakazi wa TTCL waambie wamepotea njia, kwenye mobile waachane nako waimarike kwenye broadband, wataingia chaka!
  9. Amoeba

    TUCTA Yajitutumua tena, kudai kima cha chini 315,000

    Hivi kima cha chini sasa hivi ni shillingi ngapi? Maana mi naona hata hiyo laki tatu ikikatwa makato ya kodi na michango ya social security inabakia laki mbili labda, kwa mtu mwenye familia ndogo ya mke na watoto wawili wallah sioni kama anaweza kuishi kwa elfu5 kwa siku, hapo hajaugua wala...
  10. Amoeba

    Tahadhari kwa wanaopenda kununua "malaya"... Dodoma wamenaswa wakiwa na ARVs

    Hivi bado kuna watu wazembe mpaka waone ARV ndiyo wajue kuuogopa UKIMWI!
  11. Amoeba

    Nauza movies HD za 2012 (Arusha)

    Mbona ipo thread wanayogawa muvi za bure!! search.
  12. Amoeba

    Nyumba inatafutwa Mwanza

    oops, ok!
  13. Amoeba

    Nyumba inatafutwa Mwanza

    ipo California, sebule, jiko, stoo, vyumba viwili chini, master na chumba cha watoto juu, nyumba ya uwani ina garage, vyumba viwili na ofisi. nyumba zimeunganishwa na outdoor living ya kisasa, fully furnished. $800K, kama ni mnunuzi njoo PM. Naiuza ili nijenge nyingine. Wanaoulizaga maswali ya...
  14. Amoeba

    Saidia Nchi Yako: NUNUA bidhaa MADE IN TANZANIA.

    Hicho kigari cha VETA ni SUZUKI, not made in Tanzania, ni Modified......oh,no!....Asembled....aah hapana...Sjui nini in Tanzania, la Chini ni IVECO, Bandikwad Nembo ya Nyumbu in Tanzania!
  15. Amoeba

    Finally,nimeamua kufunguka....

    Umesema yote Roulette, @snochet ni kijana mwema sana, simfahamu personally lakini nafahamiana naye sana JF, namwona ni kama mwanafamilia wangu na namkubali sana kwa uwazi wake na misimamo ya "mlengo wa kati!" Namwombea kila la heri katika kutafuta mwenza, Kwa vile ni kijana mcha Mungu pia...
  16. Amoeba

    Mazishi ya Nyaga Mawala kufanyika Nairobi

    Wewe ni nani hata useme Will ya MAWALLA haina mashiko?!!!!! Mambo yote unayoyawaza wewe for sure alishayawaza na kuangalia possible scenarios zote ndiyo maana akaandika!
  17. Amoeba

    Kuishi Dar ndio dharau kiasi hiki

    Hahahaa, naona umeambiwa wa Mkoa umemind vibaya mno mpaka umekuja kufungua thread JF?!!!! Kwani pesa mlikopeshana JF? Btw, inaonekana mnafahamiana vilivyo, huenda mmetoka kijiji kimoja au mlisoma pamoja, kwa hiyo ni wewe ndiyo unajua jinsi ya kumpata, JF sidhani kwama watakusaidia sana (labda...
  18. Amoeba

    Mazishi ya Nyaga Mawala kufanyika Nairobi

    Ndivyo unavyojidanganya?!!!
Back
Top Bottom