Habari wanajamvini...
naomba msaada kwa hili ... hivi unaweza kujua unamimba ndani ya siku 13? Au nimewahi kupima?? Maana UPT unaniambia negative? Au nisubilie wiki ingine zaidi???
Naomba muongozo tafadharii
Inawezekana kweli bado ajapata mtima wake Ila kwenye mambo mengine mengine yupo perfect tatizo ni Ilo mawasialiano ... sasa najiuliza nimvumilie ??? Nikianza safari nyingine huyo nitakayempata atakuwa na mapungufu yap??? Maana tuna miaka miwili karibia
Kuna kipindi simu yangu ilialibika akanipa simu yake ambayo alikuwa haitumii nahisi alisahau kufuta hiyo text Ndio nikaona malalamiko ya huyo Dada na sio kwamba nilifanya ufukunyukuuu...
Yanii nimejikuta nacheka[emoji28][emoji28][emoji28]maana kusema kweli na mambo ya kiuchumi yameyumba balaa sasa sijui tatizo linazidi kwa sababu ya uchumiii????mbovu mfukoooni???
Kuna kipindi nilimwambia kabisa mapenzi haya mie siyawezi akaniambia nimvumilie atabadilika taratibu na kuniomba msamaha .... nikimwambia tuachane yani neno ambalo hataki kulisikia kabisa
KwA kweli hata mie naona Ila sijui ndio kilema cheke hata ex wake naye alikuwa analalamika kama mie yani swala la simu kwake ni mtihani Ila ukiamua kumnunia basi anajilekebisha wiki moja halafu anaanza tena
Happy Easter Jf
Naombeni kuuliza? Hivi unawezaje kuishi na mwanaume ambaye ana tatizo la poor communication? ??? [emoji35][emoji35][emoji35] yani anaweza kukaa hata siku tatu asikujulie hali na hata ukipiga simu Mara nyingine hapokei ?? Nilimfatilia na kuhisi ana mwanamke lakini wapi ?? Hana...
Aaahh wanajifanya hawataki ujinga kumbe mademu zao Ndio wanatowa kwa kuwa hajui basi hawezi kujua kama mtoaji wa mkorosho ni demu wake[emoji1] [emoji1] [emoji9] [emoji9]
Habari zenu wanajamvini
nimekutana na issue hii hapa kuna kijana tunafanya naye kazi ofisi moja , jana alinipa mkasa wake kwenye ndoa yake ni kuwa yeye ameoa zaidi ya miaka 11 nyuma lakini kipindi hicho chote hana raha na ndoa yake wala mkewe na sababu ya kutokuwa na raha ni ndoa zile za mimba...
Habari wadau..,
Jioni hii yamenikuta nimetoka ATM nikachukua laki nne na risiti ikaandika hivyo hivyo, nilivyochukua hizo pesa sikuhesabu nikaweka kwenye bahasha maana nilikuwa naenda kumlipa mtu pesa zake.
Nilipofika kwa jamaa tunazihesabu zipo laki tatu na nusu 350,000/= duuh nikaangaika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.