Kweli kaka nimesoma mada yako na kuilelwa vizur mno ila mi nacomments kidog tena mada tofauti ya hii yako kaka,kuna watu wamezuka na style mpya ya kujifanya wanawake ili waweze kuwalaghai watu so jamani tuwe makini kwani hawa watu si wema na wanahitajika kukomeshwa mapema iwezekanavyo.
mh!jamani nina haki ya kuhema kwani hawa watoto wa siku hizi wanatufanya hata hizi funga zetu zinazotaka kuanza zisikubaliwe,anyway mtoto amaumbika na she's so sex!big up kwa anakokota mzigo anajua kutunza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.