Hapana mkuu. Siyo kweli. Jana CHL ilizidiwa kama ilivyofungwa na Tottenham kwenye EPL. Hakuna timu inayopenda kufungwa au kuachia makombe. Huwezijua kesho mechi itakuwaje.
Mkuu unampotosha mwenzako.
Kujitolea ni jambo jema sana. Unawezakujitolea sehemu mbalimbali. Kusafisha shule za watoto wadogo. Kusafisha hospitali. Kuwapikia watoto yatima kwenye makazi yao.
Yaani hatankama umeajiriwa....ni vyema kutenga muda wako hata saa moja kufanya kazi za kujitolea.
Umeona wapi mtu anaougwa na AK47 halafu hatoki damu? Teh teh teh.
Yule jamaa mtuhumiwa wa madawa aliyekuea anatoroka mahakamani akapigwa risasi na polisi wa Tz, uliona picha yake? Sasa jiulize ☺
Kweli propaganda ni njia nzuri ya kuchonganisha watu. Jamaa wanapika matukio, wanasingizia dini ya watu fulani. Wahusika mnaingia upepo. Embu angalia mlivyochangia hapa ilihali hiilo tukio lina kila dalili ya kuwa ni false flag!
P.S. hivi ndivyo jamaa wanataka iwe inatokea (muwe mnajaa upepo)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.