Chuki binafsi......tafuta facts kwanza! wewe unazungumzia ofisi ambayo yeyote anaweza kuitumia unaacha kuzungumzia nchi inavyoliwa na waliokutuma....utakufa maskini.
Mtu aliyeanzisha hii thread ni wa kuhurumia na utaendelea kulala hivyohivyo wenzio wanatoa michango ya kujenga nchi.
Hivi hili suala kwa nini unalitoa leo??? hivi kama ana kashfa kama hiyo siku zoooote hizi RA na wenzie wangemuacha?......................endelea kuokoteza baba...mtazitafuta...
[CENTER]
Huyo Mwenyekiti wa UVCCM Tabora ni limbukeni kama kawaida amekurupuka sasa wenzake wanamkana kwamba ni tamko lake binafsi...AIBU KUUUBWA. UVCCM URAMBO tunamkubali mzee 6 na ataendelea kuheshimika tu. Soma habari kwenye NIPASHE ya leo 25/3 ndio utajua kuwa Chama kimepoteza dira na...
Wewe kalamu daftari ni mtu wa majungu sana ondoa kwanza kibanzi kwenye jicho lako. Tunataka mtu anayeijenga hii nchi sio mambo yake mengine ya baada ya kazi. Umekalia ujinga tu. Ushauri wa bure jitoe humu kwenye JF ambako watu wanajadili issues zenye kujenga nchi hii.
Mnafiki ni wewe hapo, umelifanyia nini taifa hili? jiulize kwanza kabla ya kuita watu wengine wanafiki? ukituma trash humu ndio unaona umefanya kazi ya maana. Toa hoja sio kuita watu wanafiki.
Halafu nakushauri ujitoe kwenye JF mpaka utakapokua. UTOTO UNAKUSUMBUA:A S-baby: .........GROW UP
Mwenye roho za kwa nini haoooooo...wameanza. Hakuna mtu ambaye ameshaongoza bunge letu kwa viwango vya 6. Hiyo ndiyo fact.......na atapeta tu hata upinzani wanamkubali wamepewa nafasi nzuri kutokana na 6 kusimamia mabadiliko makubwa ya kanuni. Mtakalia hivyo hivyo ofisi ofisi kila mkiamka ofisi...
nyinyi wooote mnaoponda humu ni $f...#$. Hamjui chochote mnachozungumza....wilaya gani tanzania hii ina maendeleo hayo mnayozungumzia nyie...badala ya kujenga hoja mnatukana tuu..ndio maana mmekalia kujificha humu na majina ya uongo. Tafuteni data nyie. Ofisi ya urambo ni ya mbunge na siyo ya...
Hivi jamani kwa nini tunaendelea kujadili tu kujadili tu humu halafu hatuchukui hatua za kweli?? huyu PINDA KATUDHARAU WATANZANIA.............TUAMKE JAMANI. WAKATI WENZETU HUKO JUU WAMEJISAHAU.......................BORA SASA TUAMKE
Hivi nyinyi watu..mnatarajia gazeti lidanganye issue kama hii ili nini.....au hamuelewi uzito wa maneno kama yale yaliyoandikwa? Tumain..na wenzako nafikiri nyie pia ni mafisadi ndio maana macho yamefungwa kabisa hamuoni tena......WIZI MTUPU.......kalagabaho. Kitu kama hicho azushiwe mtu ili...
Wewe pasco ni mshamba na ndio maana umejifichia humu.....kwani mtu anayejiamini unamuangalia kwa kutumia kigezo kipi? issue hapa ni hoja tu na sio muonekano wa sura bado ni mtoto mdogo sana unatakiwa kukua kwanza kabla ya kuanza kujadili humu...eti mikono chini ulitaka amshike shati?
Charles mulinda ni nani? .................ameshakula hela za mafisadi sasa ndio anataka kutafuta umaarufu yaani mahali pa kutokea kupitia migongo ya watu......................HUYU TUMPUUZE NA KUMUOGOPA KAMA UKOMA.
Tofauti ya mawazo ndio itakayotutoa katika lindi la umaskini .................
Humu wanafiki wengi , hivi watu kama BLU RAY na wengine nyinyi mmeifanyia nini nchi hii...kazi kujificha tu kwenye JF. Hamna GUTS za kukemea chochote...MZEE SIX YUKO JUU
Hili jitu SKASUKU kweli nimeanimi jina la kasuku halina maana na kazi yao aidha kuropoka bila kujua maana au kuiga. Acha kuongea vitu vya kitoto wewe unataka kuwafanya watu kuwa hawajui hayo mafisadi yanafanya nini...nakupongeza sana Mzee punch hasa kwa ujasiri wako wa kuandika mada ndefu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.