Jamaa jasiri sana. anat.omb.ewa halafu anaanika hadharani. mkiambiwa muoe kwenu mnasema LOVE at first sight. haya sasa. love at first sight kwa kila mwenye t.shirt nyekundu. Imekula kwako
Tatizo la kuoa wanawake wasiosoma. anamwamini vipi total stranger hata akagawa simu yake. alikua ameangalia wapi wakibadilisha line ? mhoji vizuri huyo my wife wako huenda kuna vingi umeibiwa
La kwanza. acha tendo la ndoa till further notice.
La pili kwa mimba ya kwanza nakushauri uende Muhimbili. mtafute mmama mmoja mtip kitu kidogo na matokeo utayapenda.
La tatu hakikisha wife anakua happy. najua kipindi hiki ana mambo ya ajabu ajabu lkn mvumilie sana.
La nne nakutakia baraka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.