Sina hakika kamani sahihi sana kwa muda huo wa asubuhi sana uliotembelea hospitali kama ulikuwa mwafaka kutoa majumuisho ya kwamba hakuna huduma kabisa. Hata siku sisizo na migomo Tanzania yetu hii wafafanyakazi huchelewa kazini.Lakini pia kwa ratiba za Muhimbili unaweza kuingia wodini kuona...
KIONGOZI WETU AWE NA SIFA NA SI JINSIA
Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuna utaratibu wa kubadilisha viongozi wa ngazi mbalimbali za kisiasa kila baada ya miaka mitano. Viongozi ninaowalenga kwa siku ya leo ni rais, wabunge na madiwani. Hawa ndio wawakilishi wa matakwa...
Kukamatwa kwa waziri Sitta ni kwa kawaida kama mtu yeyote mtoa rushwa ambavyo angeweza kukamatwa, suala kwamba kwa nini yeye ndiyo atangazwe sana na vyombo vya habari jibu ni jepesi, huyu ni waziri aliye maarufu, si maarufu kwa kuwa wazir tu bali kwa kuchanganya na kuwa kwake mke wa Spika...
TUNAHITAJI VIONGOZI WALIO WATANZANIA ZAIDI.
Utaratibu wa kuwa na dola haujaanza wakati wa enzi hizi za hivi karibuni, bali ni wa muda mrefu sana. Si rai yangu kutumia kalamu hii muda huu kuonesha ni namna gani dola ilianza lakini natamani angalau niseme umuhimu wa dola ulianza baada ya idadi...
Jamani kuna mabo mengi sana ya kuyajadili zaidi ya hili la richmond liloendelea kwa zaidi ya miaka minne sasa na hakuna lolote zuri la kuwawajibisha hao waliokula pesa zetu walalahoi, mjadala huu wao wameufunga bungeni kibabe, basi kwa sababu hakuna jipya liletwalo na mijadala ihusuyo hii...
Je sheria hii mpya ya uchaguzi iliyosainiwa kwa mbwembwe zote kama ilivyokuwa imeahidiwa hapo awali itaweza kupunguza rushwa katika uchaguzi na hivyo kutupatia viongozi bora? Kama hivyo ndivyo nini hofu ya wanasiasa wa upinzani? Je wanaona ni kiinimacho?
Tanzania kwa sasa yahitaji matendo ili...
Hakuna haja ya kurudisha kadi pasipo ulazima, ulazima niuonao ni kwa hawa wapiganiji kulazimishwa kurudisha kadi zao ili wasiwenwanachama wa cahama A kwa lengo kwamba chama A kitabakia na nguvu kuliko vyama B, C, D n.k. Nadhani Tanzania ya kweli itajengwa na watanzania wa kweli pia, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.