Hakika, kuna mambo mengi yanayoweza pelekea mtu kuwa hivyo e.g. vinasaba, uzembe wa kutokuzingatia lishe bora, kutofanya mazoezi, umri na kushuka kwa uwezo wa kumeng'enya wanga/wese, n.k. Pia si kila asiye na kitambi yuko "fiti" na si kila aliye na kitambi hana "fiziki"....unaweza aibika...watu...
“When you’re 20 you care what everyone thinks, when you’re 40 you stop caring what everyone thinks, when you’re 60 you realize no one was ever thinking about you in the first place. You have enemies? Good. That means you’ve stood up for something, sometime in your life.”
— Winston Churchill
Mkuu unachosema ni muhimu sana. Changamoto ni kua hao watu wa e-Govt. bado ni Wakala, taasisi changa na ndiyo sheria ya kuwafanya mamlaka imesainiwa lakini bado hawajatangazwa kwa kauli ya Waziri. Kwahiyo hata wanaposhauri taasisi zibadilishane taarifa au kuunganishwa muitikio bado ni mdogo...
vitu vingi vibaya wamevihusisha na black...black leg, black list, black hat, black market, black money....and then a black man...vizuri wameviita white ....white hat, white list...imefanyika makusudi
Mkuu zipo sanaa za mapigano za kiafrica sema hazijapata nafasi:
Musangwe ...Istunka. ...Dambe. ...Engolo or Ngolo. ...Lutte Traditionnelle. ...Nuba Wrestling. ...Tahtib.
hizo ni kwa uchache
Mkuu..yawezekana wewe ni Introvert (reserved)..sasa kuna matatu;
1. Kutopenda mikusanyiko (social gathering) ni jambo la kawaida kwa hao watu...wanachuma nishati nyingi wakiwa peke yao (alone) au kwa kwa aghalabu na watu waliowazoea sana...kwahiyo akikaa kwenye shamra shamra kwa masaa kadhaa...
Kiroba ni kikali kuliko nyagi ya chupa...ujazo wa viroba viwili ni sawa na chupa ndogo ya nyagi (kisichana) lakini hivyo viroba viwili ni "ngunguri" kuliko nyagi ya "kisichana"
Ni kweli Mkuu,
(4) The Chief Executive shall–
(a) be the Agency's Accounting Officer with such financial
responsibilities as may be provided for in its Framework
Document, the Order establishing the special fund for the
Agency under section 12 of the Public Finance Act and
regulations...
Vyote viwili. Kuna nchi inajua[knowledge] kuwa mahala fulani kuna madini halafu watu wa hapo yawezekana hawajui[ignorant] kama yapo au wanajua uwepo wake lakini hawajui namna ya kuyachimba na yako mengi kwa kiasi gani. Anawachonganisha tu, huku nyie mnapigana yeye ananufaika kwa nyinyi kukopa...
Mkuu kimsingi hakuna staili inayoitwa "combat karate"...ile wanayofundishwa jeshini ni baadhi tu ya mafunzo ya staili fulani. Yaweza kuwa shotokan au goju ryu pamoja na vitu vichache vya aikido au jiujitsu.
Pili hakuna sanaa ya mapigano ambayo ni bora zaidi ya nyingine. Msanii ndio huwa bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.