Alhaj -mwanaume
Hajat- mwanamke..
Amiri-mwanaume
Amirati -mwanamke...
Hata sasa Arab media zitamuita Samia Amirat huku Sisi tukimuita Amiri Jeshi mkuu...
Kwamba Mebeyo kumkumbuka Magufuli na kutoa chozi ghafla tayari wataalam wa kutazama mmeshapata "yote yaliyokuwa moyoni mwake" na sasa ndo mnatutangazia hayo yaliyo kuwa moyoni mwake?..
Like seriously?...
Nina ndugu wawili wamekufa Kwa kansa Kwa kujifanya hawali sembe ...wao Dona Tu...kumbe mahindi yenyewe hayaoshwi vizuri bado Yana sumu za dawa za kuhifadhi mahindi
Futari na daku haifidii chochote kama utaweza kaa masaa 16.....bila Kula chochote...hapo issue ni Kwa mda gani hauli chakula....kuna tofauti Sana Kwa anaemaliza Kula kitu Saa nne au tano usiku akalala..akaamka akafunga....na Yule anaeamka Saa tisa usiku Kula daku..
Mafuta yanayojihifadhi mwilini yanayeyuka unapokuwa huli...yanafidia ombwe la mafuta unayokusanya unapokula mara Kwa mara ...yakizidi ndo unapata magonjwa...sasa ukifunga yanayeyuka...
Itv waliharibu wenyewe walivyogomea ving'amuzi Badala yake Mengi akawa anataka serikali icheleweshe zoezi la digital abaki analog....na zilipokuja social media ndo zikawa msumari WA mwisho...now hawana subscribers WA vingamuzi na hawana matangazo...yanaenda social media...washakufa bado mazishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.